• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

WILAYA YA RUANGWA YAFANYA BARAZA LA NNE LA KUFUNGA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

Posted on: August 13th, 2024

Baraza la Madiwani la robo ya nne la Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa limefanyika leo, Agosti 13, 2024, katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri, Baraza hilo, ambalo ni la mwisho kwa mwaka wa Fedha 2023/2024, litatamatika rasmi kesho Agosti 14 baada ya kufanyika uchaguzi wa viongozi wa kamati kwa mwaka 2024/2025, Aidha Baraza hilo limewahusisha Waheshimiwa Madiwani, Wakuu wa Idara na Vitengo, Watendaji wa Kata, pamoja na Wataalamu kutoka taasisi mbalimbali za Serikali.


Katika Baraza hilo, Waheshimiwa Madiwani wamewasilisha taarifa zinazobainisha mambo mbalimbali ikiwemo mafanikio na changamoto walizokutana nazo kwenye Kata zao, huku wakitoa shukrani kwa Serikali kwa kupeleka huduma muhimu za kijamii kama vile maji, elimu, na afya katika Kata zao, wamesema huduma hizo zimechangia kuboresha maisha ya Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa na kuongeza ustawi wa jamii kwa ujumla.


Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Mhe. Andrew Chikongwe, amewapongeza kwa dhati Idara ya fedha na Halmashauri kwa ujumla kwa kufanikisha ukusanyaji wa mapato kwa asilimia 94 ya lengo. Amesema hii ni hatua kubwa inayodhihirisha ufanisi na uwajibikaji katika matumizi ya rasilimali za umma kwa manufaa ya Wananchi.


Mbali na hayo, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Mwalimu George Mbesigwe, ameahidi kuzifanyia kazi changamoto zote zilizosomwa na Waheshimiwa Madiwani kwenye Baraza, kwa umakini na kwa wakati. Amesisitiza kuwa Halmashauri itaweka kipaumbele katika kuzitatua changamoto hizo ili kuhakikisha kuwa Wananchi wa Ruangwa wanapata huduma bora na maendeleo endelevu.


Ikumbukwe, Mabaraza ya Madiwani ndani ya Halmashauri ni muhimu sana kwa kuwa yanawakilisha sauti za wananchi katika maamuzi ya maendeleo, utungaji wa sera, na usimamizi wa rasilimali za umma. Kupitia Mabaraza hayo, Madiwani hujadili mipango ya maendeleo ya Halmashauri, kuhakikisha kwamba maamuzi yanayofanyika yanazingatia mahitaji na maslahi ya Wananchi. Pia, Mabaraza haya ni chombo muhimu cha uwajibikaji, kwani yanawapa Madiwani fursa ya kusimamia utendaji wa Halmashauri.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa