• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

WALIMU WA MSINGI NA SEKONDARI RUANGWA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA e-UTENDAJI (WATUMISHI)

Posted on: January 29th, 2026




Walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani Ruangwa wamepatiwa mafunzo ya matumizi ya mfumo wa e-Utendaji (WATUMISHI) kwa lengo la kuwawezesha kufanya tathmini ya utekelezaji wa majukumu yao ya kazi kwa usahihi na kwa wakati kupitia mfumo wa kielektroniki.


Mafunzo hayo yamefanyika leo, tarehe 27 Januari 2026, katika Ukumbi wa Ofisi za CWT zilizopo Ruangwa Mjini, yakihusisha walimu kutoka shule mbalimbali za Wilaya hiyo, ambapo mwitikio na ushiriki wao umekuwa mkubwa.


Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Afisa Utumishi kutoka Mkoa wa Lindi, Bi. Neema Mrisho Konzo, amesema kuwa mafunzo hayo yamelenga kuhakikisha walimu wanaelewa kwa kina hatua za kufanya tathmini (assessment) ya utendaji kazi katika mfumo wa e-Utendaji, sambamba na kuzingatia miongozo na ratiba iliyowekwa na Serikali.


Sambamba na hayo, Bi. Neema amesema kuwa utekelezaji sahihi wa zoezi la tathmini katika mfumo huo ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuimarisha uwajibikaji, ufanisi na uwazi katika utumishi wa umma, hususan katika sekta ya elimu.


“Nafurahi kuona walimu mmejitokeza kwa wingi kushiriki mafunzo haya. Hii inaonesha dhamira yenu ya kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuboresha utendaji kazi wenu wa kila siku,” amesema Bi. Neema.


Kwa upande wake, Kinara wa mafunzo ya mfumo wa e-Utendaji (WATUMISHI), Ndg. Mohamedi Hamisi Mohamedi, amesema kuwa mafunzo hayo yatawasaidia walimu kutatua changamoto mbalimbali ambazo walikuwa wakikumbana nazo katika matumizi ya mfumo huo, hatua itakayo rahisisha zoezi zima la tathimini katika Idara ya Elimu.


Aidha, Mafunzo hayo ni sehemu ya juhudi endelevu za Serikali ya Mkoa wa Lindi kuimarisha matumizi ya mifumo ya kielektroniki katika utumishi wa umma, kwa lengo la kuongeza uwajibikaji, uwazi na ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya watumishi, hususan walimu, ili kuboresha utoaji wa huduma za elimu kwa jamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 17.11.2025 November 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III August 09, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • RUANGWA YASHIKA NAFASI YA KWANZA MKOA WA LINDI MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2025

    January 18, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI RUANGWA LAJADILI TAARIFA ZA ROBO YA PILI 2025/2026

    January 29, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI RUANGWA LAJADILI TAARIFA ZA MAENDELEO YA KATA

    January 28, 2026
  • WALIMU WA MSINGI NA SEKONDARI RUANGWA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA e-UTENDAJI (WATUMISHI)

    January 29, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa