• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Mipango na Uratibu

                                                                           

Ndg.  Fundikira Masamalo

Mkuu wa Idara ya Mipango na Uratibu

 


 MIPANGO na UFUATILIAJI

Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatili ni mojawapo ya idara mama katika Halmashauri. Jukumu kubwa la idara hii ni kuratibu shughuli zote za maendeleo zinazotekelezwa na Halmashauri. Idara hii inawatumishi 4, aidha Idara hii haina kitengo bali ina seksheni kuu tatu ambazo ni mipango, takwimu na ufuatiliaji. Majukum na mafanikio ya utekelezaji wa majukum ya idara ya mipango ni kama ilivyoaininshwa kwenye jedwari hapa chini;

Jedwari; Majukum na Mafanikio ya Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji.

Na.
Idara/Kitengo
Sekisheni
Majukum
Mafanikio

Idara ya Mipango
Mipango
Kumshauri Mkurugenzi Mtendaji (W) juu ya masuala ya uchumi na shughuli mbalimbali za maendeleo.
Mkurugenzi anashauriwa na idara zote juu ya masuala mbalimbali za kiuchumi. Hali hii imesaidia kuanzisha miradi mbalimbali mikubwa na ya kimkakati kama vile ujenzi wa ghala la wilaya, ujenzi wa uwanja wa mpira, uanzishwaji wa shamba la korosho la Halmashauri.



Kusaidia utekelezaji wa miradi ya maendeleo.
Halmashauri inatenga na kuchangia 60% ya mapato yake ya ndani kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ngazi ya wilaya, kata na vijiji.



Kuandaa bajeti ya Halmashauri ya muda wakati.
Bajeti ya Halmashauri zinaandaliwa kila mwaka kwa kufuata muongozo na sheria ya bajeti.



Kuandaa taarifa mbalimbali za utekelezaji wa miradi na shughuli mbalimbali za maendeleo.
Taarifa za shughuli mbalimbali za maendeleo zinaandaliwa na kuwasilishwa sehemu husika kwa wakati. Uandaaji na uwasilishwaji wa taarifa hizi kwa wakati unasaidia Halmashauri kupata hati safi.


Takwimu
Kukusanya takwimu mbalimbali za kijamii na kiuchumi kwa ajili ya kupanga mipango ya maendeleo.
Takwimu zimekusanywa na kutumika kuandaa mpango mkakati wa Halmashauri kwa kuzingatia fursa za vikwazo katika Wilaya ya Ruangwa.


Ufuatiliaji
Kufanya usimamizi wa shughuli mbalimbali za miradi ya maendeleo.
Ufuatiliaji wa miradi na utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo unafanyika, taarifa za miradi hiyo zinaandaliwa na kuwasilishwa sehemu husika kwa wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA MPARA WAFANYA USAFI KUJIANDAA NA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa