• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Uchaguzi

Ndg. Charles Damian  Tamba

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uchaguzi


KITENGO CHA UCHAGUZI

Kitengo Uchaguzi ni moja kati ya Vitengo vilivyopewa hadhi ya Idara kamili. Kitengo hiki hufanya kazi za kuratibu shughuli zote zinazohusu Uchaguzi katika Jimbo. Kitengo cha uchaguzi kina majukumu mbalimbali kama ilivyoainishwa kwenye Jedwari hapa chini;

Jedwali: Majukumu na Mafanikio ya Kitengo cha Uchaguzi.

Na
Kitengo
Seksheni
Majukumu
Mafanikio
1
Uchaguzi

  • Kuratibu Chaguzi ndogo na kubwa
Jumla ya Chaguzi ndogo 3 za Madiwani zimeratibiwa kikamilifu na kuwezesha Kata za Mnacho, Nachingwea na Namichiga Kupata Madiwani wake ambapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka mshindi kwenye Kata zote tatu.
  • Kutunza nyaraka, taarifa na vifaa vya Uchaguzi na kufanya uhakiki wa vifaa.
Kitengo kimejiwekea utaratibu wa kutunza nyaraka, vifaa na taarifa zote za Uchaguzi na kufanya uhakiki wa vifaa vyake kwa lengo la kuboresha kumbukumbu sahihi za mali za Tume.
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu la mpiga Kura.
Kitengo kimekamilisha kuandaa vituo 187 vya kupigia Kura ambapo pia vimetumika kama vituo vya kujiandikisha wapiga kura. Aidha walengwa wanaotarajiwa kuandikishwa kwenye kipindi hicho ni wale ambao walikuwa na umri wa miaka 13-17 kwa mwaka 2015; jumla yao ni walengwa 19,356 ambapo wanaume ni 9931 na wanawake ni 9,125. Takwimu hizi ni kwa mujibu wa maoteo ya sensa ya mwaka 2012.
  • Kuhuisha taarifa ya uboreshaji Rejesta ya Kijiji
Jumla ya Rejesta 90 za Vijiji zimehuishwa.
  • Kukusanya taarifa ya nafasi wazi za Viongozi wa Vijiji na Vitongoji.
Nafasi wazi 163 za Viongozi wa Serikali za Vijiji 90 na Vitongoji 436 zimeratibiwa
  • Kutafsiri Sera, miongozo, kanuni na Sheria zinazohusu Uchaguzi.
Kanuni zote zinazohusu Uchaguzi wa Serikali za Mtaa zimepitiwa upya na zingine zimefanyiwa maboresho ili kukidhi mahitaji ya wakati huu
  • Kutatua migogoro ya Viongozi wa kuchaguliwa ngazi ya Vijiji na Vitongoji
Wenyeviti wa Serikali za Vijiji vya Nahanga, Nangurugai, Chienjera, Dodoma, Makanjiro, Nangumbu ‘A’ na Kipindimbi wamerudi kwenye nafasi zao baada ya kufanya usuluhisho wa migogoro yao.
  • Kumshauri Mkurugenzi Mtendaaji masuala ya Uchaguzi.
Kitengo kimekuwa kikimshauri Mkurugenzi Mtendaji masuala yote ya Uchaguzi pamoja na kushirikisha Wakuu wa Idara zingine kwenye Vikao vya Wakuu Idara (CMT).

                                                                        



                                                       



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA MPARA WAFANYA USAFI KUJIANDAA NA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa