SEKTA YA AFYA.
IDADI YA VITUO VINAVYOTOA HUDUMA ZA AFYA
: HALI YA UPATIKANAJI WA DAWA NA VIFAA TIBA
Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa imeweza kuongeza upatikanaji wa dawa muhimu na vifaa tiba kwenye vituo vya kutolea huduma za afya kutoka wastani wa 92% mwaka 2017/2018 hadi kufikia 100% Novemba 2025/ 2026, ambapo lengo la kitaifa ni 80% kwa dawa muhimu.
Ongezeko hii la upatikanaji wa dawa na vifaa tiba katika Halmashauri yetu imechangiwa kwa kiasi kikubwa na uwepo wa Duka la dawa la MSD ambalo linatumika kutoa huduma za dawa na vifaa tiba katika zahanati, vituo vya afya na hospitali zote za mkoa wa Lindi, Mtwara na wilaya ya Tunduru (Mkoa wa Ruvuma) pamoja na upatikanaji wa Mshitiri wa Mkoa
|
|
|
Ruangwa
Anuani ya Posta: S.L.P 51
Simu ya Mkononi: 0732932312
simu: 0732932312
Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz
Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa