• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Huduma za Afya




                                                                 Mkuu wa Idara ya Afya, Ndg Mahile Njile

 SEKTA YA AFYA.

IDADI YA VITUO VINAVYOTOA HUDUMA ZA AFYA

  • Halmashauri ya wilaya Ruangwa ina vituo vya kutolea huduma za Afya 39 (Hospitali 1, Vituo vya Afya 4 na Zahanati 34) .Huduma zinazotolewa katika hospitali ya Wilaya ni pamoja na huduma za Matibabu ya Magonjwa ya Nje, Matibabu ya magonjwa ya kulazwa,
  • Huduma za magonjwa ya Nje (OPD)
  • Huduma za magonjwa ya kulazwa (IPD)
  • Huduma za Upasuaji
  • Huduma za kliniki
  • Huduma za Maabara
  • Huduma za Mionzi
  • Huduma za CTC
  • Huduma za TB
  • Huduma za Meno
  • Huduma za Bima ya Afya (NHIF na CHF)

: HALI YA UPATIKANAJI WA DAWA NA VIFAA TIBA

Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa imeweza kuongeza upatikanaji wa dawa muhimu na vifaa tiba kwenye vituo vya kutolea huduma za afya kutoka wastani wa 92% mwaka 2017/2018 hadi kufikia 94% Novemba 2018, ambapo lengo la kitaifa ni 80% kwa dawa muhimu.

Ongezeko hii la upatikanaji wa dawa na vifaa tiba katika Halmashauri yetu imechangiwa kwa kiasi kikubwa na uwepo wa Duka la dawa la MSD ambalo linatumika kutoa huduma za dawa na vifaa tiba katika zahanati, vituo vya afya na hospitali zote za mkoa wa Lindi, Mtwara na wilaya ya Tunduru (mkoa wa Ruvuma) pamoja na upatikanaji wa Mshitiri wa Mkoa

 

  • . HALI YA WATUMISHI IDARA YA AFYA

Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kupitia Idara ya Afya inajumla ya watumishi 271 sawa 30.4% ya watumishi 890 wanaohitajika ambapo upungufu ni sawa na 69.6%. Aidha Halmashauri inashukru serikali kuu kwa kuendelea kutoa kibali cha Ajira kwa watumishi kada za Afya na kuwapangia watumishi 62 kufanya kazi katika wilaya ya Ruangwa.

  •  
  • UJENZI WA ZAHANATI NA VITUO VYA AFYA

Halmashauri inaendelea kutekeleza mpango wa ujenzi wa vituo vya Afya kila Kata na Zahanati kwa kila kijiji kama ilivyoelekezwa katika sera ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.

 Ujenzi wa Zahanati.

Jumla ya Zahanati 7 za vijiji vya Mihewe, Chikundi, Namkatila, Mkutingome, Namilema, Muhuru na Mbecha zinaendelea kujengwa na zinatarajiwa kukamilika na kufunguliwa kwa vipindi tofauti.

4.2.2 UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA VITUO VYA AFYA. 

 

Kituo cha Afya Nkowe.

Ujenzi wa miundombinu katika Kituo cha Afya Nkowe umekamilika kwa 100% kwa majengo ya vipaumbele ambayo ni nyumba ya Mganga, Jengo la Upasuaji, Chumba cha kuhifadhia maiti, Maabara, Kichomea taka na Wodi ya Wazazi kwa kutumia fedha za uboreshaji wa miundombinu ya Vituo vya Afya kutoka Serikali Kuu shilingi 500,000,000.00.

Aidha hadi sasa kiasi cha shilingi 500,000,000 zimeshatumika kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu ya kituo.

Kituo cha Afya Mbekenyera.

Ujenzi wa miundombinu katika Kituo cha Afya Mbekenyera umekamilika kwa 99.97% kwa majengo ya vipaumbele ambayo ni nyumba ya Mganga, Jengo la Upasuaji, Chumba cha kuhifadhia maiti, Maabara, Kichomea taka na Wodi ya Wazazi kwa kutumia fedha za uboreshaji wa miundombinu ya Vituo vya Afya kutoka Serikali Kuu shilingi 500,000,000.00.

Aidha hadi sasa kiasi cha shilingi 499,853,870/= zimeshatumika kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu ya kituo.

Kituo cha Afya Mandawa.

Ujenzi wa miundombinu katika Kituo cha Afya Mandawa umekamilika kwa 99% kwa majengo ya vipaumbele ambayo ni Jengo la Upasuaji, Chumba cha kuhifadhia maiti, Maabara, Kichomea taka na Wodi ya Wazazi kwa kutumia fedha za uboreshaji wa miundombinu ya Vituo vya Afya kutoka Serikali Kuu shilingi 400,000,000.00.

Aidha hadi sasa kiasi cha shilingi 396,000,000 zimeshatumika kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu ya kituo.

5.0 UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA

Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa imepokea kiasi cha shilingi 500,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali mpya ya Wilaya. Aidha taratibu za maandali ya uthamini wa eneo la ujenzi unaendelea.

6.0 WADAU MBALIMBAMBALI WA MAENDELEO KATIKA SEKTA YA AFYA

Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa ina wadau mbalimbali wanaosaidia katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali kama ifuatavyo;

S/N
JINA LA MDAU
KAZI WANAZOTEKELEZA
1
USAID BORESHA AFYA
Utekelezaji wa shughuli za UKIMWI, Malaria, TB na ustawi wa jamii
2
GIZ
Utekelezaji wa shughuli za CHF na Maboresho ya huduma za afya
3
KFW
Utekelezaji wa Mradi wa Tumaini la Mama
4
Mariestops
Utekeleza wa mradi wa uzazi wa mpango
5
PSI
Utekeleza wa mradi wa uzazi wa mpango
6
Sight saver
Utekelezaji wa mradi wa macho
7
ROPA
Utekelezaji wa shughuli za UKIMWI, Malaria, TB na ustawi wa jamii
8
MMAKIRU
Utekelezaji wa shughuli za Afya ya mama na mtoto

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA MPARA WAFANYA USAFI KUJIANDAA NA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

    May 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA YATUNUKIWA TUZO KWA KUONGOZA KATIKA VIASHIRIA VYA AFYA MKOA WA LINDI

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa