• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Wanaruangwa watakiwa kujihadhari na kujikinga dhidi ya corona

Posted on: March 19th, 2020

Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Dkt Mahile Njile  pamoja na timu ya kukabiliana na magonjwa ya milipuko Wilayani Ruangwa wamefanya mafunzo ya namna ya kuchukua tahadhari ya kujikinga na Corona. Mafunzo hayo yamefanywa Katika ukumbi ofisi ya Mkuu wa Wilaya na kuhudhuriwa na Mkuu wa Wilaya, kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, madiwani, timu ya menejimenti ya Halmashauri, watendaji wa Kata na viongozi wa dini.

Dkt Njile ameeleza kuwa Idara ya Afya imejipanga kukabiliana na ungonjwa huu na sasa kinachofanyika ni utoaji wa Elimu wa namna ya kujikinga kupata ugonjwa wa Corona, ametaja Kituo cha Afya Nkowe Kimetengwa maalumu kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa endapo wakiwepo Wilayani Ruangwa.


”jamani tuacheni mizaha   kila mmoja kwa sehemu yake achukue tahadhari za msingi ikiwemo kuacha kushikana mikono, kukumbatiana, kunawa mikono kwa sabuni kwa maji yanatotiririka hili si suala la kufanyia mizaha” amesema Dkt Njile

Aidha Dkt Njile ameeleza dalili za ugonjwa huo kuwa ni Joto kali kupita kiasi, Homa, mafua Makali, kukohoa, kuumwa kichwa, kubanwa mbavu, vidonda kooni na mwili kuchoka ni dalili za virusi vya Corona. Ameeleza kuwa mtu ukiona dalili hizo atoe taarifa kwa watoa tiba ili wafike kumuhudumia.


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe Hashim Mgandilwa amewataka wananchi kuchukua hatua na tahadhari kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya na kunawa mikono mara kwa mara kwa sabuni.

Vile vile Amezitaka ofisi za umma na zisizo na umma kuweka maji ya kunawa na vitakasa mikono kwa ajili ya watumishi na zoezi hilo lifanyike katika nyumba za ibada yani makanisa na Misikiti.


“ kwa kipindi hiki watu mzingatie haya si ruhusa Kufanya Mikutano yote ya kisiasa ,kutofanyika, Harusi sherehe kama sio lazima sana ni vema isogezwe mbele, kwenda Magereza kutembelea ndugu na hata kufanya mikusanyiko isiyo na ulazima pia muache kupeana taarifa za taharuki kuhusu ugonjwa huu” amesema Mgandilwa





MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa