• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MAAFISA UTAMADUNI WAKUTANA NA WALAMBO, NGARIBA NA WAMILIKI WA VIWANJA VYA JANDO NA UNYAGO

Posted on: November 14th, 2025

Maafisa Utamaduni wa Halmashauri ya Wilaya yaRuangwa wamefanya kikao maalum leo Novemba 14, 2025, na Walambo, Ngariba pamoja na wamiliki waviwanja vya Jando na Unyago katika Ukumbi wa Mikutanowa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa. Lengo la kikaoni kujadili masuala ya uendeshaji wa shughuli za kijadikwa kuzingatia sheria, taratibu na kanuni za serikali.

Akizungumza katika kikao hicho, Afisa Utamaduni waHalmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Ndg. Elias Ndamo, amesisitiza umuhimu wa wamiliki wa viwanja hivyokuhakikisha wanakata vibali halali kabla ya kuendeshashughuli zao. Aidha, ameeleza kuwa serikali inatarajiawamiliki kuwa na vitambulisho rasmi ambavyo vitasaidiakatika utambuzi na utoaji wa huduma pale kunapotokeachangamoto.


Ndamo amewataka wadau hao kuwa mabalozi wa kufuatasheria, kwa kuwaripoti watu wanaoendesha shughuli zakimila bila vibali au kukiuka taratibu zilizowekwa. Amesema hatua hiyo itasaidia kudhibiti vitendovisivyofuata miongozo ya serikali na kulinda usalama wajamii.

Aidha, Afisa Utamaduni huyo amefafanua kuwaHalmashauri itaanza kufanya ukaguzi na ufuatiliaji wamara kwa mara ili kubaini wale wanaotekeleza shughulihizo bila kuwa na vibali au kutofuata utaratibu stahiki.

Katika maelekezo mengine, Ndamo amewasisitiza wadauhao kuzingatia kanuni za afya na maadili wakati wakuendesha shughuli za Jando na Unyago, ili kuzuiachangamoto za kiafya na kuepusha ukiukaji wa maadili yajamii.

Wakati wa mjadala, baadhi ya wajumbe walipata nafasi yakuuliza maswali, kutoa maoni na kupendekeza maboreshombalimbali. Wameipongeza pia Halmashauri kwa kuandaakikao hicho, wakieleza kuwa kimekuwa na manufaamakubwa katika kuongeza uelewa wa taratibu za serikalina kuimarisha ushirikiano katika masuala ya utamaduni.

Kikao hicho kilichojumuisha pia wataalam wengine kutokaKitengo cha Sanaa, Michezo na Utamaduni, kimehitimishwa kwa makubaliano ya kuendeleakushirikiana kwa ukaribu kati ya Halmashauri na wadauwa mila na desturi ili kuhakikisha shughuli za kimilazinafanyika kwa utaratibu, usalama na kuzingatia sheria.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 17.11.2025 November 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III August 09, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • HOSPITALI YA WILAYA YA RUANGWA YAPATA USAJILI KWA MAFUNZO ENDELEVU YA KITAALUMA (CPD)

    November 20, 2025
  • MHE NGOMA AWAPONGEZA NMB KWA KUIPANDISHA THAMANI YA KOROSHO KWA WANANCHI WA RUANGWA

    November 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA 2025

    November 15, 2025
  • MAAFISA UTAMADUNI WAKUTANA NA WALAMBO, NGARIBA NA WAMILIKI WA VIWANJA VYA JANDO NA UNYAGO

    November 14, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa