• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

vitambulisho vya mjasilimiamali wadogo kugawiwa jumatatu Ruangwa

Posted on: December 22nd, 2018

Katika kutekeleza zoezi la vitambulisho vya wajasilimiamali kama ilivyoagizwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe. John Pombe Magufuli, Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Hashim Mgandilwa  amewataka wajasilimiamali  wadogo wadogo kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kulipia na kupata vitambulisho vya wajasilimiamali .

Mkuu wa Wilaya ametoa tamko hilo katika kikao kazi kilichofanya mjini Ruangwa leo Desemba 22 katika ukumbi wa CCM kilichojumuisha watendaji kata , vijiji, makatibu tarafa, wakuu wa idara na kamati ya ulinzi na usalama.

Mheshimiwa Mgandilwa amesema vitambulisho hivyo vinapatikana kwa shilingi elf 20,000 ya kitanzania.

Amesema Mkuu wa Wilaya zoezi hilo litaanza rasmi Jumatatu 24/12/2018 na nizoezi  la siku 9 mpaka tarehe 01/ 01/2019, mjasilimiamali anatakiwa kufanya malipo hayo katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya iliyopo karibu na bank ya zamani ya NMB.

Aidha amesema zoezi hili ni lazima kila mjasilimiamali kuwa na hiko kitambulisho na asiyetii agizo hilo atakosa haki ya kufanya biashara  ndani ya Ruangwa na sheria itafuata mkondo wake.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Andrea Chezue amewataka watendaji wa kata na vijiji kwenda kuwahamasisha na kuwapatia elimu ya faida ya kitambulisho hiko.

Pia amewataka wajasilimiamali wote waliondani ya Ruangwa  mjini na vijijini kujitokeza kwa wingi kulipia na kuchukua vitambulisho hivyo kwa manufaa yao.

Pia amesema zoezi hili litawapima watendaji wa kata na vijiji kama wanafanya kazi yao ipasavyo kwa kubainisha wajasilimiamali wote wa maeneo yao.

Zoezi hili litawahusisha wajasilimiamali wote wadogo wadogo wa Ruangwa hata wamachinga, wanapaswa kulipia elf 20,000 kila baada ya mwaka mmoja na kwa kata zilizombali na Ruangwa mjini watafuata fomu katika ofisi za kata zao husika.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa