• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Uadilifu katika urasimishaji wa wajasiriamali

Posted on: May 27th, 2020

Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ndg, Rashidi Namkulala amewataka watendaji watakaokabidhiwa vitambulisho vya ujasiriamali kutimiza wajibu wao na si kukaa na vitambulisho ofisini.

Amesema hayo leo tarehe 27/05/2020 wakati akikabidhiwa vitambulisho hivyo na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

Kaimu Mkurugenzi amesema zoezi la ugawaji wa vitambulisho umeanza rasmi leo.

“zoezi la ugawaji wa vitambulisho hivi litaratibiwa na ofisi ya Afisa biashara na pia vitapatikana katika ofisi za watendaji wa vijiji, gharama ya kila kitambulisho ni shilingi elf 20000 kama ilivyokuwa awali”

Aliendelea kuelezea vitambulisho vya awamu ya sasa vimeboreshwa na hata utaratibu wa ugawaji pia umeboreshwa mjasiliamali hatotoa fedha taslimu kwa mgawaji wa vitambulisho hivyo bali atalipia kwa mfumo wa bank au kupitia simu yake baada ya kupata control namba toka kwa muhusika anayemuhudumia

Aidha alielezea sifa za mjasiliamali anaepaswa kupata kitambulisho hiko ni yule ambaye mauzo ghafi yake hayazidi milioni 4 kwa mwaka.

“Kuna watu wanatumia vitambulisho hivi kufanya udanganyifu wananunua kwa kusema wamefirisika ili wakwepe kodi ya TRA safari hii tutawafuatilia kwa kina watu wenye kutaka kufanya udanganyifu kama huu kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania” amesema Namkulala

akialika  ushirikiano wa watendaji wa serikali watakaopewa kuuza vitambulisho hivyo amewataka kuhakikisha wanawaelimisha vyema wajasiriamali na kuwa waadilifu kwani watasaini fomu maalumu itakayoonesha idadi ya vitambulisho alivyopatiwa.

Naye Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya Ndg. Gwamaka kalumbete alitoa rai kwa Wajasiliamali wa wilaya ya ruangwa kujitokeza kwa wingi kununua vitambulisho hivyo ambavyo Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli amewaandalia ili kutambulika na kuepuka usumbufu unaoweza jitokeza kwa kufanya shughuli zisizorasimishwa.

Alizitaka taasisi za fedha kutumia fursa hii kupata wateja wa mikopo midogo na kutoa elimu ya ujasiriamali na uwekezaji kwa kushirikiana na ofisi ya Afisa biashara kwani vitambulisho vya awamu hii vinaelezea shughuli ya mjasiriamali kwa upana zaidi.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa