• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

RUANGWA YAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA MAZOEZI NA USAFI

Posted on: June 1st, 2024

Kuelekea kilele cha Maadhimisho ya siku ya Mazingira duniani ambayo huazimishwa kila ifikapo June 5, kila mwaka Viongozi wa Wilaya ya Ruangwa kwa kushirikiana na wananchi wameanza maadhimisho hayo kwa kufanya mazoezi (jogging)na kufanya usafi eneo la wazi nyuma ya kwa Wanyumbani.


Mazoezi na usafi umefanyika leo June 1, 2024 ambapo mazoezi( jogging) yamefanyika kwa zaidi ya kilomita 5 na usafi umefanyika eneo la mraba zaidi ya hekari 1


Kwa mwaka 2024 kilele cha Maadhimisho ya siku ya mazingira duniani kimataifa yatafanyika katika jiji la Riyadh nchini Saudi Arabia, yakiongozwa na kaulimbiu " Urejeshwaji wa Ardhi iliyoharibiwa na ustahimilivu wa hali ya jangwa na ukame" Kaulimbiu hii inalenga kuhamasisha jamii kuwa na matumizi endelevu ya Ardhi pamoja na kukabiliana na uharibifu wa ardhi zinazopelekea kuenea kwa jangwa na ukame.


Na kitaifa maadhimisho haya yatafanyika katika kituo cha mkutano Jakaya Kikwete Jijini Dodoma ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi na kwa Mkoa wa Lindi kilele cha Maadhimisho kitafanyika katika Manispaa ya Lindi na mgeni rasmi atakayeshiriki shughuli za usafi anatarajiwa kuwa Mhe. Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania


Lengo la Maadhimisho ya siku ya Mazingira duniani ni kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazingira na matumizi endelevu ya rasilimali zake kwa vizazi vya sasa na vizazi vijavyo.


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe. Hassan Ngoma ametoa wito kwa wananchi kufanya mazoezi pasi shuruti ili kuimarisha Afya na kufanya usafi katika mazingira yanayowazunguka kwani mazingira yakiwa safi na Afya ikiwa imara watakuwa wamejiepusha dhidi ya magonjwa mbalimbali.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa