• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii awaasa Wakuu Wa Shule Kutumia Fedha za(P4R) Kama Iivyokusudiwa

Posted on: May 4th, 2017

Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Afya na Maji Elias Nkane, amewataka wakuu wa shule  wanaopewa pesa kwa ajili ya kuongeza vyumba vya madarasa, chumba cha kukaa walimu na vyoo wazitumie pesa hizo kwa mahitaji yaliyokusudiwa.


Mh, Nkane Alisema pesa za lipa kulingana na matokeo (P4R) zinazopelekwa katika mashule ni nyingi hivyo zisiwatie tamaa wakuu wa shule na kuanza kuzitumia katika mipango isiyokusudiwa kwani kufanya hivyo ni kosa kisheria.


Mwenyekiti alisema hayo wakati wa ziara ya kamati ya huduma za jamii, zilipotembelea katika miradi katika kijiji cha Nachiungo, Mnacho, Chimbila B na Michenga, kamati ilitembelea shule ya msingi Nachiungo, shule ya sekondari Mnacho, mradi wa maji Michenga na kuangalia eneo la ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Chimbila B.

Aidha Mwenyekiti aliutaka uongozi wa kijiji cha Chimbila A, kuhakikisha eneo walilotenga kwa ajili ya ujenzi wa zahanati alivamiwi na wanakijiji kwa ajili ya shughuli za kilimo na makazi,


``Jitahidi mpaka mwezi wa 8 mwaka huu zahanati iwe imesimama hata mkiomba nguvu kutoka Halmashauri itakuwa ni rahisi kusaidiwa, serikali ya kijiji mjitahidi katika kukusanya michango`` alisema.

  


Naye Diwani wa Mbwemkuru aliwasisitiza viongozi vya serikali ya kijiji cha Chimbila kukusanya michango ya ujenzi wa zahanati bila kuangalia wala kupendelea ili kuweza kifikia lengo walilojiwekea.

Katika kuonesha madiwani wako karibu na wananchi wao madiwani wawili waliweza kuchangia katika ujenzi huo bila kuangalia kuwa siyo kata yao, vilevile mganga mkuu wa Wilaya naye alichangia fedha kwa ajili ya ujenzi wa zahanati hiyo.



Naye Mganga Mkuu wa Wilaya dr Japhet Simeo aliwapongeza uongozi wa shule ya sekondari Mnacho kwa juhudi walizozionesha za kuanza ujenzi wa vyumba ya kukaa walimu ambavyo havikuwa katika mpango wa (P4R)kwani ni ubunifu mzuri walioufanya uongozi wa shule hiyo.



Pia aliwashauri uongozi wa kijiji cha Chambila B, kuwa na ushirikiano na jamii inayowazunguka kwasababu Wao ndiyo watu watakaoweza kusaidia kuendelea au kushia njiani kwa ujenzi wa zahanati hiyo










Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa