• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MWENYEKITI WA HALMASHAURI AKABIDHI MBUZI 10 KWA KIKUNDI CHA UKOMBOZI NANDAGALA

Posted on: June 20th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Mhe. Andrew Chikongwe amekabidhi mbuzi 10 wa kufuga leo Juni 20, 2024 kwa Kikundi cha Ukombozi kilichopo kijiji cha Nandagala wilayani Ruangwa


Mbuzi hao wamepatikana baada ya Baraza la NACOFA kutembelea kikundi cha Ukombozi Mwezi 11, 2023 na kuahidi kuchangia shilingi Milioni 2 ili kukiimairisha kikundi hicho kupitia shughuli mbalimbali.


Kikundi hicho kimeanzishwa mwaka 2022 kikiwa na jumla ya wanakikundi 16 kikiwa na lengo la kujikwamua kiuchumi kupitia shughuli mbalimbali kama vile kilimo na ufugaji pia kuimarisha afya kwa kuzingatia lishe bora.


Aidha, Mhe. Chikongwe ametoa wito kwa wanakikundi kutilia maanani mradi huo ili kupata matokeo chanya ya kimaendeleo katika kijiji na Kata kwa ujumla.


"Wenzetu wanatusaidia na wanataka matokeo chanya, hivyo basi wekeni mkazo kuhakikisha mbuzi hawa wanaongeza thamani ya kijiji chetu na musiwe na haraka ya kupata matokeo, hii itasababisha kuvuruga malengo"


Katika hatua nyingine, Mhe. Chikongwe amesisitiza mbuzi hao wakitunzwa vizuri watasaidia kupata samadi itakayosaidia katika shughuli za kilimo, pia kupata maziwa ambayo yatasaidia kuimarisha afya halikadhalika kusaidia wanakikundi kupata fedha mara baada ya mbuzi kuuzwa pindi watakapoongezeka.


Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kikundi cha Ukombozi Ndugu Siwazuli Ally Nkundi amelishukuru Baraza la NACOFA na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa na kuahidi kuendeleza mradi huo ili iwe chachu ya maendeleo kwao na Wilaya kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa