• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA AFUNGUA MAFUNZO YA MTAALA MPYA KWA SHULE ZA SEKONDARI

Posted on: July 8th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa amefungua mafunzo ya Mtaala mpya kwa shule za Sekondari Elimu ya Juu (Curricullum for Upper Secondary Education) leo Julai 8, 2024 katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Ruangwa.


Mafunzo haya yatafanyika kwa muda wa siku tatu kuanzia leo Jumatatu mpaka Jumatano na kuhusisha Walimu wa shule tano zenye wanafunzi wa kidato cha tano na sita na ni kufuatia maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati akilihutubia Bunge baada ya kuapishwa kwake kuwa Rais mwaka 2021 na kuiagiza Wizara ya Elimu kupitia upya Mitaala kama inakidhi vigezo na uhitaji wa wanafuzi.


Aidha, Ndugu Chonya amewataka Walimu kusikiliza kwa makini, kuwa watulivu ili wajifunze kikamilifu na wasisite kuuliza pale wasipoelewa, ili wanavyorudi kuwafundisha wanafunzi shuleni wafundishe kadri Mtaala unavyotaka.


Pia, amemuagiza Afisa Elimu Sekondari Ndugu Ernest Haule kuwapa posho Walimu wanaoshiriki mafunzo hayo ili kujikimu kwa siku hizi 3 za mafunzo.


Kwa upande wake, Mratibu wa Mafunzo hayo Ndugu Ali Juma kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), ameushukuru uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kwa mapokezi mazuri na kutoa wito kwa walimu kuyazingatia yale watakayofundishwa ili kukuza sekta ya Elimu Tanzania.


Kwa niaba ya Walimu waliokuwa wanapata Mafunzo hayo Mwl. Hamis Kapera ameshukuru kwa mafunzo hayo mazuri yenye lengo la kuimarisha sekta ya Elimu Wilaya ya Ruangwa na Tanzania kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa