• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Lucas maria kuanza kudahili wanafunzi wa kidato cha tano mwaka huu

Posted on: May 26th, 2020

Naibu katibu Mkuu Tamisemi Gerald Mweli anaeshughulika na masuala ya Elimu ameagiza Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kukamilisha miundombinu katika shule ya Lucas Maria  ili iweze kupokea wanafunzi wa kidato cha tano mwaka huu.

Amesema hayo Leo 26/05/2020 wakati wa ziara yake ya kikazi Wilaya ya Ruangwa inayolenga kukagua miundombinu katika shule za mkoa wa lindi na maandalizi ya kupokea kidato cha sita ifikapo june 01/06/2020.

Naibu Mweli alitoa pongezi kwa ujenzi mzuri wa miundombinu  katika shule ya Lucas Maria ambayo kwasasa shule hiyo ya Wasichana inatumika kwa wanafunzi  wa kidato cha kwanza tu.

“Shule nzuri sana hii mwaka huu naleta wanafunzi wa kidato cha tano, Mkurugenzi hakikisha unamaliza hayo mambo madogo madogo yaliyobakia, hii shule inasifa ya kuwa na kidato cha tano” amesema Mweli

“Siwezi kuacha watoto wetu wanakosa shule wakati tuna majengo mazuri sana hapa Lucas Maria vitu vilivyobaki ni vidogo sana muanze taratibu za kuomba usajili mtapokea kidato cha tano mwaka huu” amesema

Naibu katibu Mweli aliendelea kusisitiza suala la ushirikishwaji wa wananchi katika ujenzi wa miundombinu inayoendelea sasa katika Wilaya

“Zipo kazi ambazo wananchi wakihamasishwa wanaweza kuanza hata kabla fedha za ujenzi hazijaingizwa, hili likifanyika itakuwa rahisi kumaliza shughuli miradi inayoendelea” alisema

Vile vile aliagiza shule ya mbekenyera kutumia fedha za ukarabati wa miundombinu ya shule zinazopelekwa na Serikali  kwa ajili ya kununua vifaa vikubwa vya kuhifadhia maji katika shule hiyo

“Maji ni uhai na maji ni muhimu hii shule inapaswa uwe na maji mpaka kwenye mabweni hizo fedha ambazo ziliingizwa kipindi hiki cha mapumziko zitumike kwa ajili ya kununua vifaa vya kutosha kuhifadhi maji hapo shule kwa kuzingatia sheria za matumizi ya fedha hizo” amesema


MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa