• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Kitambulisho cha Taifa ni Haki ya Kila mwananchi, Mjitokezea kujiandikisha ili upate haki yako

Posted on: January 23rd, 2018

Mkuu wa Mkoa Godfrey zambi, amewataka wananchi wa Ruangwa walio na umri kuanzia miaka 18 kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kujiandikisha ili kupatiwa vitambulisho vya taifa.

Ameyasema hayo siku za 23-24/01/2018 katika mikutano wa hadhara katika kata za Mandawa na Nanganga wakati wa Ziara yake ya kikazi aliyoifanya Wilaya ya Ruangwa.

Zambi amesema zoezi ili linaloendelea katika Wilaya ya Ruangwa ni wajibu na haki ya kila mwananchi kuwa na kitambulisho cha taifa hivyo mtu asijinyime haki hiyo na kusisitiza kuwa zoezi hili halihitaji gharama yoyote ya kifedha kwa mwanachi kujiandikisha .

Kwa kushiriki zoezi hili kutaliwezesha taifa kujua idadi kamili ya wananchi wake katika kile eneo na litasadia kuwezesha kutoa huduma kwa wananchi wake kwa kuzingatia takwimu za wakazi.

“Alitoa mfano kuwa Ruangwa ni wakulima wazuri wa kurosho ila kulikuwa na malalamiko ya pembejeo na mifuko ya kuhifadhia korosho hii imetokana na ukosefu wa idadi kamili ya watu usijinyime haki yako ya kupata vitu vinavyoletwa na serikali” Zambi amesema.

Naye Bi Sandra hamisi wa kijiji cha Mtakuja alisema walitangaziwa kuwa zoezi ni la bure lakini wanashangaa wanatozwa elfu tano ya picha ambayo wanashangaa sasa zoezi hili limekuwa si la bure tena.

“Ila zoezi hili limekuwa na muitikio mkubwa kwa wanakijiji wa eneo hilo, na wanaendelea kumiminika tunachoomba kupunguzwa kwa bei hii ya kupiga picha kwani ni kubwa watu wengi tunaitaji kitambulisho hicho cha taifa kwani wanatambua umuhimu wake” Bi Sandra alisema.

Katika kutolea ufafanuzi wa hela inayolalamikiwa na wananchi ,Afisa Usajili wa Wilaya Khalaf Mwalim, Amesema wakala wa vitambulisho vya Taifa (NIDA) wanaendesha zoezi la uandikishaji na kutoa vitambulisho bure kwa wananchi pasipo kufanya malipo wananchi, na kusisitiza kuwa NIDA haimtozi mtu hela kwa ajili ya jambo lolote linalohusu utoaji wa kitambulisho.

“Ila ili mtu apate kitambulisho anatakiwa awe na kitambulisho na vyeti vya kuzaliwa ikitokea hana inabidi akapate utambulisho katika ofisi za Mtendaji wa Kata na utambulisho huo ndiyo unaokuwa na picha hivyo NIDA hatuhusiki katika hilo zoezi la upigaji picha ya kwenye barua ya utambulisho” Amesema Mwalim

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa