• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Kampuni I Ya Uranex Wakabidhi Bati 266 Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Shule Mpya Wilayani RuangwaA

Posted on: March 22nd, 2017

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ruangwa Ndugu Andrea Chezue ametoa shukurani kwa Kampuni ya Uranex inayojishughulisha na uchimbaji wa madini aina ya bunyu katika Wilaya ya Ruangwa kwa msaada wa bati waliotoa.


Mkurugenzi amepokea bati 266 kutoka kwa Uranex ambazo zitatumika katika kuwekeza madarasa matano na vyoo ambavyo vinajengwa katika shule ya sekondari mpya inayojengwa kwa nguvu za Wananchi, Halmshauri na misaada kutoka kwa wadau mbalimbali.


Aliyasema hayo wakati akipokea bati hizo kutoka kwa Meneja wa Uranes Mamboleo walipokuwa wanamkabidhi siku ya tarehe 11-02-2017 katika eneo la kiwanda cha kukamulia mafuta ya ufuta mjini Ruangwa.


Pia alisema Mkurugenzi "ujenzi wa vyumba vya madarasa umefikia katika hatua nzuri na unaenda kama ambavyo ilikuwa inategemewa na kesho wanaanza kupaua na kupiga mbao" aidha, aliwaomba Uranex waendelee na moyo huo huo wa kuweza kusaidia katika maeneo mengine wanatakapoombwa msaada.


''Tangu tumeanza ujenzi wa shule hii mpya Uranex tumekuwa nao bega kwa bega kwani walikuwa wanakwenda mara kwa mara kupitia katika eneo la ujenzi kuona hali ya kiujenzi inavyoendelea'' alisema.


Kampuni ya Uranex ilitoa msaada wa bati 266 kama ahadi waliyoitoa katika Ziara ya kikazi ya  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alivyokuja mwezi wa Disemba mwaka 2016 ilyofanyika katika Wilaya ya Ruangwa


Naye Mkuu wa Wilaya Joseph Mkrikiti aliwaomba wadau wengine ambao hawajatoa ahadi walizoahidi basi waweze kutoa ili kuweza kufanikisha ujenzi huo kuisha mapema na Watoto waliokosa nafasi katika shule ya Ruanngwa Sekondari waanze masomo katika shule hiyo mpya.


Aidha, aliuomba Uongozi wa Halmshauri kutunza rasilimali wanazopewa kwa ajili ya ujenzi ili isiwavunje moyo wanaotoa misaada hiyo na kumuomba Mkurugenzi kuwa makini na matumizi ya vifaa hivyo vinavyotolewa na Watu.


Hata hivyo Mkuu wa Wilaya aliuomba Uongozi wa kampuni ya Uranex kutokuwachoka pale wanapokuiwa wanaitaji msaada kwani wao ni Watu wanaowategemea kufanya Ruangwa kuwa Ruangwa ya maendeleo.


Baada ya kupokea Msaada huo Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi na timu ya Wataalamu walioongozana nao waliweza kutembelea shule hiyo inayojengwa na uwanja wa mpira wa Nyasi bandia unaotegemea kujengwa Ruangwa mjini.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa