• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango Ya Wilaya Kukagua Maendeleo ya Miradi ya Kijamii

Posted on: April 21st, 2017


Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Mipango ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri na Diwani wa kata ya Mbekenyera Rashid Nakumbiya amewataka watendaji wa serikali za vijiji kufanya kazi kwa ushirikiano na kuacha tofauti za vyama,alisema jukumu la kiongozi kuitumikia jamii iliyompigia kura ni wajibu wa kila mmoja wao, aliwakata kujenga umoja kwa kuangalia masilahi ya wananchi waliowapiga kura kwa ajili yao.



Aliyasema hayo wakati akiongea na watendaji wa serikali za vijijini wakati wa ziara ya kutembelea Miradi ya kamati ya fedha Uongozi na Mipango,Iliyofanyika katika maeneo ya Chikundi, Namichiga, Namilema na Ruangwa mjini.Mwenyekiti alisema ushirikiano ni muhimu kwa pande vyama vyote vya kisiasa katika kuleta maendelea na wasifanye vyama vikawaga wao wote ni watanzania na sifa ya mwafrika ni umoja na ushikamano 

Aidha aliuomba uongozi wa Halmashauri kuwafanyia utaratibu wa kupata tenki za maji katika shule ambazo zinauhaba wa maji ili waweze kuvuna maji ya kutumia wanafunzi kipindi cha ukame.Hata hivyo Mh.Nakumbiya alitoa pongezi  kwa uongozi wa halmashauri kwa kuweza kuwasaidia wanakijiji walioonesha nguvu zao na kuanzisha miradi ya maendeleo katika kata zao.Pia alitoa pongezi za kipekee kwa viongozi wa serikali za vijiji na wananchi kwa ujumla kwa kuweza kufanikisha zoezi la kuanzisha miradi kama zahanati na shule zao na kuwaomba wawe na moyo huo huo kwani maendeleo katika kijiji yanaanzwa kuletwa na wahusika wa eneo


 Kamati ya Fedha na Uongozi na Mipango walitembelea mradi wa zahanati ya kijiji cha chikundi, ujenzi wa vyumba vya madarasa Namichiga sekondari, ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule ya msingi Namileya na barabara za lami za mjini Ruangwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa