• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Hongera halmashauri ya ruangwa kwa kupata hati safi- RC Zambi

Posted on: May 15th, 2020

Mkuu wa Mkoa Mheshimiwa Godfrey Zambi aipongeza  Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kwa kupata hati safi katika ukaguzi huo na kuwataka watendaji kuendelea kutimiza majukumu yao ya kila siku ili kupunguza hoja ambazo nyingi siyo nzito na uwezo wa kufanya hivyo sababu halmashauri hiyo ina viongozi na watendaji wachapakazi.

Amesema hayo leo 15/05/2020 katika Baraza maalum la kupitia hoja za ukaguzi wa hesabu kwa  mwaka  2018/2019 lililoanyika katika ukumbi wa Narungombe Pub Ruangwa mjini na kuhudhuriwa na Mkuu wa Mkoa, Katibu Tawala Mkoa, wageni kutoka ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali, Viongozi wa Chama cha Mapinduzi, Waheshimiwa Madiwani na Watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa.


Pia amewataka waheshimiwa Madiwani kuendelea kushirikiana katika utendaji kazi ambao umeleta matunda na kupata hati iliyosafi

“Hakuna  kizuri kama ushirikiano katika kutekeleza majukumu mkiendelea hivi mtafika mbali mkifanya kazi kwa pamoja mtaifikisha mbali zaidi Halmashauri kwa upande  wa maendeleo ya Wilaya”amesema Zambi.

Wakati huo huo Mkuu wa Mkoa amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa kuwashugulikia wafanyabiashara wanaoficha sukari na wanaouza bei ya juu na atakaebainika basi sukari yake itaifishwe na iuzwe bei elekezi ya serikali ya shilingi elf 2800.

“Tumebaini kuwa hakuna uhaba wa sukari bali ni wafanyabiashara wanaficha sukari kwa lengo la kuuza sukari kwa lengo la kuiuza kwa bei kubwa

Mheshimiwa Zambi alisema wakazi wa Ruangwa wasiwe na hofu kwani sukari ya kutosha imeshushwa jana alhamisi bandarini hivyo suala linaloendelea sasa la kupanda bei ya sukari kiholela limeisha.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa Bi Rehema Madenge amewataka wananchi Kuendelea kujikinga na virusi vya ugonjwa wa corona na kuchukua tahadhari kama maelekezo yanavyotolewa na wataalamu wa afya

Pia ameitaka menejiment ya wilaya kuhakikisha inafuatilia suala la ukusanyaji mapato Na kuhakikisha watu wanaokusanya mapato wanafikiwa mara kwa mara kwa ukaguzi.

“Msisubiri watu wenye POS walete makusanyo huku ofisi kuu wafuatilieni huko huko msibweteke kabisa suala la kukusanya mapato ni la watumishi wote  na si watu wachache shirikianeni” amesema bi Madenge

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa