• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

DC, awataka waliowaachisha watoto wa kike shule kuripoti kituo cha polisi kesho.

Posted on: October 8th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa  Mheshimiwa Hashim Mgandilwa amewataka wanaume wa Ruangwa waliowaachisha masomo watoto wa kike na kuwaoa kufika kituo cha polisi kesho asubuhi.

Ametoa agizo wakati wa ziara yake Leo 08/10/2018 ya  kujitambulisha  aliyoifanya katika kata ya Mbwemkuru katika vijiji vinne ambavyo ni Chiundu, chikwale, nangurugai na machanyanja.

Mheshimiwa  Mgandwila amewataka wanaume wanaoishi na wanafunzi waliowakatisha masomo kuanzia mwaka 2015 mpaka 2018  wajisalimishe wenyewe kesho kituo cha polisi mjini Ruangwa.

"Wanawake  wa kuoa wako wengi katika maeneo yenu kwanini mnawaharibia wanafunzi masomo amuwaoni huruma wazazi wa hao watoto mnaowaharibia maisha" amesema Mgandilwa

" Niachieni watoto wangu acheni wasome nawao waje kuwa na nafasi kama za juu za uongozi  nasema nitakula sahani moja na hawa watu wanaoniharibia wanafunzi" amesema Mgandilwa.

Pia Mkuu wa Wilaya alisema na kuna wazaz waliopokea rushwa kumaliza kesi za watoto wao waliopata ujauzito nataka niwaambie nikimalizana na hawa walioweka mimba nakuja kuanza na nyie.

" na nyie mliotoa Rushwa na kuharibu kesi nawapa salamu zangu kesi hizo zitaanza upya sitofumbia macho suala hili hamuwezi ishinda serikali na amuwezi kuwa juu ya serikali nyie amesema Mgandilwa.

Mheshimiwa aliwakumbusha wananchi kuwa kitendo cha kumpa mimba mwanafunzi  ni kifungo cha miaka 30 jela aliwataka kuacha kuwaharibia masomo wanafunzi.

Naye kaimu Afisa elimu Sekondari mwalimu Nassu Anna aliwataka wazazi kuwa karibu na watoto wao wa kike na kuwapatia elimu ya kujitambua ili kupunguza  mimba shuleni.

Alisema mwalimu Nassu wazazi watambue wajibu wao kwa kuongea na mabint zao kama wanavyofanya walimu  wakiwa shuleni kuongea na wanafunzi kwa kuwapa elimu na kuwaonesha umuhimu wa elimu.

"Anachokifanya Mkuu wa Wilaya ni jambo zuri sana na jema na litasaidia kupunguza mimba mashuleni aendele na msimamo huohuo kwani inawezekana kuwa na Ruangwa isiyo na mimba shuleni" amesema mama nassu.

Mwalimu Nassu  alisema kwa  mwaka wa masomo 2017 mpaka 2018 wanafunzi waliopata ujauzito ni 18 hali hii si nzuri aliwaomba walimu na wazazi washirikiane katika kupunguza na kuondoa tatizo hilo

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa