• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

BARAZA LA MADIWANI RUANGWA LAKAA KIKAO CHA ROBO YA KWANZA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

Posted on: November 6th, 2024

Baraza la Madiwani la Wilaya ya Ruangwa limekutana leo, Novemba 6, 2024, kujadili taarifa za maendeleo na changamoto zilizojitokeza katika Kata zote 22 za Wilaya hiyo kwa robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2024/2025, Kikao hicho, kimefanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, kikilenga kuboresha utekelezaji wa miradi na huduma kwa wananchi.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Mhe. Andrew Chikongwe, amewataka Madiwani na Watendaji Kata kusimamia kwa ufanisi ukusanyaji wa mapato ili kukuza uchumi wa Wilaya, Mkoa, na Taifa kwa ujumla. Aidha, amesisitiza umuhimu wa matumizi bora ya rasilimali kwa maendeleo ya wananchi.

Sambamba na hayo, Mhe. Chikongwe pia ametoa wito kwa Maafisa kilimo kuimarisha upatikanaji wa mbegu bora na kuhamasisha kilimo cha kisasa chenye tija kwa wakulima. 

“Twendeni tukawahamasishe wananchi kufanya kilimo cha kisasa chenye tija ili kuongeza vipato vyao,” amesema Mhe. Chikongwe.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Ndugu Frank Fabian Chonya, amepongeza mafanikio yaliyopatikana katika Wilaya kupitia juhudi za Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na mchango wa Mbunge wa Ruangwa ambaye ni Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa. 

“Mafanikio yapo mengi kuliko changamoto, na hii inaonesha namna Serikali inavyowajibika kutuletea maendeleo Ruangwa, sisi tunashukru sana kwa kila hatua tunayopiga katika Wilaya yetu tunatambua namna Serikali inavyofanya kazi nzuri kwa Wananchi wake usiku na mchana ili kuhakikisha maendeleo yanafika kila sehemu,” amesema Chonya.

Ikumbukwe, Kikao hicho cha Baraza la Madiwani kimeweka msingi thabiti wa ushirikiano na uwajibikaji katika kuimarisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi wa Ruangwa.

Matangazo

  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III August 09, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • ASHALONGO FC VS KIBWANA FARM FC, HAKUNA MBABE

    February 08, 2026
  • RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    February 05, 2026
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA SHERIA WILAYA YA RUANGWA YAFANYIKA LEO

    February 02, 2026
  • RUANGWA YASHIKA NAFASI YA KWANZA MKOA WA LINDI MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2025

    January 18, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa