• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

ASHALONGO FC YAIBUKA KIDEDEA KWA PENALTI 6:5 DHIDI YA TIMU YA AFYA, YANYAKUA MBUZI MAJALIWA STADIUM

Posted on: July 27th, 2025

Timu ya ASHALONGO FC ya Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa imeibuka kidedea kwa penalti 6–5 dhidi ya Timu ya Afya FC baada ya sare ya 2–2, katika Bonanza la Siku ya Afya lililofanyika Majaliwa Stadium leo 27 Julai 2025.


Bonanza hilo la maadhimisho ya siku ya afya limeandaliwa na Idara ya Afya Wilaya ya Ruangwa kwa lengo la kuimarisha afya za watumishi, kujenga mshikamano kazini, na kukuza mahusiano chanya baina ya idara mbalimbali za Halmashauri kupitia michezo.


Mbali na burudani ya soka, tukio hilo limevutia umati wa watu na kuambatana na shamrashamra, ushirikiano wa kijamii na ujumbe wa kuhimiza mtindo bora wa maisha. ASHALONGO FC limezawadiwa mbuzi kama heshima ya ushindi huku mashabiki wakilipuka kwa shangwe na vifijo.


Mbali na mechi hiyo ya kusisimua, bonanza limeambatana na michezo mbalimbali, shamrashamra, burudani, na ujumbe wa kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa afya na ushirikiano kazini. Tukio hilo limeacha alama chanya kwa washiriki na mashabiki waliouhudhuria kwa wingi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WIKI YA UNYONYESHAJI DUNIANI MWAKA 2025 KUAANZA KESHO

    July 31, 2025
  • MKURUGENZI RUANGWA AZINDUA JARIDA LA AFYA KUHAMASISHA HUDUMA BORA

    July 28, 2025
  • ASHALONGO FC YAIBUKA KIDEDEA KWA PENALTI 6:5 DHIDI YA TIMU YA AFYA, YANYAKUA MBUZI MAJALIWA STADIUM

    July 27, 2025
  • TUKUTANE NANE NANE KANDA YA KUSINI

    July 27, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa