• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Ardhi

                                                                                            Mkuu wa Idara ya Aridhi 

                                                                                        Ndg  Solomoni Masangya


MAJUKUMU

Kuratibu shughuli zote za usimamizi wa uendelezaji Miji, upangaji wa Miji, Upimaji wa Ardhi, uthaminishaji na umilikishwaji kwa mujibu wa sheria ya Ardhi Na. 4 ya mwaka 1999 na sheria ya Mipango Miji Na. 8 ya mwaka 2007.

Idara ya Mipango Miji na Ardhi hutoa huduma kwa wananchi kupitia vitengo vyake vikuu vinne;-

KITENGO CHA MIPANGOMIJI.

Kuratibu shughuli zote za usimamizi wa uendelezaji Miji katika Manispaa ya Ilemela. Usimamizi na uendelezaji Miji unahusisha upangaji wa matumizi ya Ardhi na urasimishaji wa makazi yasiyo rasmi.

Kutoa elimu na ushauri kwa jamii kuhusu uendelezaji Miji kwa mujibu wa sheria ya Mipango Miji Na. 8 ya mwaka 2007.

KITENGO CHA ARDHI.

Kusimamia masuala yote ya ardhi, uaandaaji wa hatimiliki, uhamisho wa miliki, na utatuzi wa migogoro ya ardhi. Aidha siku ya Jumanne kila wiki ni siku ya kusikiliza migogoro ya ardhi kwenye Kata kwa ratiba inayoratibiwa na ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

Ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali ikiwemo kodi ya pango la ardhi (Land Rent).

Huduma kwa wananchi ni kwa siku za Jumatatu na Ijumaa kuanzia saa 1.30 asubuhi hadi saa 8.00 mchana.

KITENGO CHA UTHAMINI.

Kinashughulikia masuala yote ya uthamini, ikiwemo uthamini kwa ajili ya fidia, uthamini kwa ajili ya kodi za majengo, uthamini kwa ajili kubadili miliki na ukadiriaji wa kodi ya majengo, Ardhi pamoja na malipo ya mbele ya ardhi. (Premium), uthamini kwa ajili  ya dhamana, uthamini kkwa ajili ya kuongeza muda wa kumiliki hati (Renewal).

KITENGO CHA UPIMAJI NA RAMANI.

Kinashughulikia shughuli zote za upimaji wa ardhi na uandaaji wa ramani za upimaji (Survey plans)

Kuonyesha mipaka ya viwanja.

Kuandaa na kusaini ramani za hati (deed plans)

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA MPARA WAFANYA USAFI KUJIANDAA NA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa