• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Zaidi ya bil.30.8 kuneemesha ruangwa kwa maendeleo mwaka wa fedha 2022/2023.

Posted on: February 4th, 2022

Baraza la madiwani Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi Limepitisha makadirio ya bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2023 kiasi cha shilingi bilioni 30,886,546,499.57 huku mapato ya ndani yakiwa ni asilimia 16% tu, kutokana na hali hiyo watendaji katika halmashauri hiyo wamehimizwa weledi na uadilifu katika ukusanyaji wa mapato ili kuyafikia malengo waliyojiwekea.

Wakizungumza wakati wa kikao cha baraza hilo mwenyekiti wa baraza la halmashauri wilaya ya Ruangwa ANDREW CHIKONGWE amesema bajeti iliopangwa inahitaji kutekelezwa kwa vitendo katika ukusanyaji wa mapato na kuagiza kuwachukulia hatua wale wote wanaokwamisha ukusanyani huo, huku mkuu wa wilaya ya Ruangwa HASSAN NGOMA akiwataka madiwani na watumishi kushikama kwa pamoja ili kuyafikia malengo waliojiwekea.

"Kwa bajeti hii sisi tunachangia asilimia chache  tu kutokana na makusanyo yetu maana yake serikali ikituacha tujitegemee tutakwama, kwahiyo tuna kila sababu ya kuongeza nguvu katika kukusanya mapato ili tujitegemee." Alisema Chikongwe ambae ni mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa.

Aidha akieleza mikakati waliojiwekea katika kuhakikisha bajeti hiyo inafikiwa kikamilifu mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya Ruangwa Ndgu. Frank Fabian Chonya, amesema wameshaanza kuchukua hatua kwa wanaokwamisha ukusanyaji wa mapato wilayani humo, huku Ndugu, Juma chikunda ambae ni katibu wa chama cha wananchi CUF aliyehudhuria baraza hilo kama mjumbe mwalikwa akipongeza kwa mapendekezo ya bajeti hiyo kwa kueleza kuwa imegusa kila sekta ya maendeleo wilayani humo.

Matangazo

  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III August 09, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    February 05, 2026
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA SHERIA WILAYA YA RUANGWA YAFANYIKA LEO

    February 02, 2026
  • RUANGWA YASHIKA NAFASI YA KWANZA MKOA WA LINDI MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2025

    January 18, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI RUANGWA LAJADILI TAARIFA ZA ROBO YA PILI 2025/2026

    January 29, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa