• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Waziri Mkuu akabidhiwa vyumba vya madarasa viwili

Posted on: December 31st, 2018

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepokea msaada wa vyumba vya madarasa mawili vilivyokamilika vikiwa na  madawati kutoka kwa bank ya CRDB.

Amepokea madarasa hayo leo Desemba 31/ 2018 katika shule ya Sekondari  Kassim Majaliwa iliyopo Kata ya Nachingwea Ruangwa mjini.

Amesema Waziri Mkuu jambo walilolifanya bank ya CRDB ni kubwa sana kwani kwa kipindi hiki Wilaya inakumbwa na tatizo la watoto waliofaulu ila wamekosa shule za kujiunga na kidato cha kwanza.

"Wanafunzi 230 hawajapangiwa shule kwa sababu  ya uhaba vyumba vya madarasa kutokana na msaada huu, uhaba katika shule hii utakuwa umeisha" amesema

Wilaya ina shule 16 za sekondari  zinazohudumia watoto wote wa Ruangwa ila shule hizi hadhikizi mahitaji na kutokana na ongezeko la ujenzi wa shule mpya katika Wilaya  zikikamilika idadi ya shule zitakuwa 26 itapelekea kukidhi mahitaji ya watoto wa Ruangwa.

" Ruangwa ya sasa si ya zamani wazazi wamekuwa na mwamko wa elimu ndio maana ongezeko la ujenzi wa shule na wananchi kujitolea kushiriki ujenzi umekuwa mkubwa niwatake muendele na hali hiyo hiyo" amesema.

Pia amezitaka taasisi nyingine za kifedha waige mfano wa bank ya CRDB kwani imekuwa bega kwa bega katika kuchangia shughuli za kimaendeleo Wilayani  Ruangwa.

Aidha, ametoa wito kwa wanafunzi wa shule ya Sekondari Kassim Majaliwa kutumia vizuri madarasa hayo na kutunza mali zilizopo shuleni hapo.

Amesema " nategemea hii shule baadae ije kuwa na kidato cha tano na Sita hivyo yatunzeni madarasa yenu na mali zilizopo hapo shuleni ili itakapofika kipindi cha shule kupata sifa ya kuwa na kidato cha 5 na 6 kusiwe na marekebisho ya madarasa".

Wakati huo huo Waziri Mkuu amekabidhi computer 20 kwa shule za sekondari 5 ambazo ni Kassim Majaliwa, Likunja, Mnacho, Hawa mchopa na Ruangwa.

Amekabidhi computer hizo hizo kwa uchache kutokana na shule hizo kutokuwa na nyumba maalumu vya kuhifadhia.

" Bado zipo computer nyingi walimu wakuu nendeni mkaandae vyumba maalumu vya kuhifadhi computer ili mkabidhiwe zilizobaki.

Waziri Mkuu yupo Wilayani  Ruangwa kwa ziara ya kikazi ya siku 4 kuanzia tarehe 30 Desemba 2018 mpaka 02 januari 2019.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa