• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Watendaji kupimwa utendaji kazi- Ded Ruangwa

Posted on: December 22nd, 2018

Katika kuendana na kasi ya serikali ya  awamu ya tano Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ruangwa Ndg, Andrea Chezue ameamua kuwapima watendaji wa kata na Kijiji kwa kuwashindanisha kutokana na utendaji  kazi wao wa kila siku.

Amesema hayo Desemba 22 wakati wa kikao cha watendaji kilichofanyika mjini Ruangwa katika ukumbi wa CCM.

Mkurugenzi huyo amesema zoezi hilo litaanza rasmi January 2019 na atatoa vigezo vya kuwapima watendaji hao  na mshindi atapokea zawad itayokuwa imeandaliwa.

Amesema Ndg,Chezue kuwa kwa upande wa elimu  shule za msingi walifanikiwa mwaka huu kwa sababu  ya kuwashindanisha walimu hali iliyopelekea Ruangwa kushika nafasi ya kwanza kimkoa.

"Sasa nakuja kwenu watendaji na sitoishia kwa watendaji kata na vijiji tu nitafika mpaka kwenye kada nyingine ila awamu hii naanza  kata na vijiji na nitawapima kwa utendaji kazi wenu" amesema Chezue.

Pia amesema kila mtendaji aanze kujitathimini katika maeneo yake mapema kwani hatoweza kuvumilia mtendaji anayemkwamisha katika kuiendeleza Halmashauri.

Pia amewataka watendaji kwenda kusimamia zoezi la uandikishaji wa watoto wa darasa la kwanza na awali na kuhakikisha kila mtoto mwenye umri wa kuanza shule januari anaaanza shule kipindi hicho.

Aidha, amewataka kusaidiana na walimu kuhakikisha wanamaliza suala la wanafunzi watoro kwa kushirikiana na waratibu elimu kata katika maeneo yao ili kudhibiti walimu wenye utoro wa rejareja.

" Walimu watoro ndiyo  wanaotukwamisha katika suala la matokeo nataka mwakani kwa upande wa Sekondari tufike asilimia 80% ya ufaulu na 90% kwa  shule za msingi sitofumbia macho uzembe wowote" amesema Chezue.

Wakati huo huo amewataka watendaji kufuata taratibu za kuomba ufadhili wa kujengewa au kuendelezewa  majengo katika maeneo yao.

" Unashida ya jengo omba kwangu na si kwenda kuomba msaada nje ya Wilaya bila ofisi yangu kufahamu au Ofisi ya Mbunge hili jambo limetokea lisije kujirudia kwa namna yoyote atujashidwa mambo yetu mpaka tukaombe msaada kwenye Wilaya zingine.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa