• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

RAS Mtwara aagiza Maafisa Habari kuhudhuria Mafunzo ya Uimarishaji Sekta za Umma

Posted on: March 26th, 2017


Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Alfed Luanda ameagiza Maafisa Habari na wataalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) wa Halmashauri na mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma Kuhudhuria mafunzo ya Uimarishaji wa Sekta za Umma yanayoendelea katika ukumbi wa Tiffany Diamond Hotel ulioko mjini Mtwara.


Agizo hilo amelitoa juzi baada ya kutoridhishwa na mahudhurio ya wajumbe wa mafunzo hayo yanayodhaminiwa na USAID kupitia program ya PS3. Amesema Maafisa Habari na wataalam wa TEHAMA wa Mikoa hii mitatu wahakikishe wanawasiliana na Makatibu Tawala wa Mikoa yao ili wanamafunzo ambao hawajafika wafike haraka iwezekanavyo.


Amesisitiza kuwa mafunzo haya yaliyokusudiwa kwa Maafisa Habari na  TEHAMA wa mikoa hii mitatu yanapaswa kuwa hamasa kwa walengwa na kuiona kama fursa muhimu yenye lengo la kuwainua kitaaluma.  Anasema haitapendekeza kama mradi utamaliza muda wake wakawepo wanufaika wengine ambao hawakuichangamukia fursa hii.


Aidha, Luanda amewatahadharisha wanamafunzo kuhakikisha wanahuisha tovuti zao mara kwa mara bila kusubiri kukumbushwa. Amesema mara nyingi tovuti zimekuwa zikianzishwa pasipo kuendelezwa hivyo huu ni muda muafaka kuhakikisha mafunzo haya yanawajenga  katika maarifa ya kwenda na wakati hasa katika kipindi hiki ambacho serikali inasisitiza suala la utendaji kazi uliotukuka.


Awali akimkaribisha Mgeni Rasmi, Mkuu wa timu ya wawezeshaji, Edgar Mdemu amesema mafunzo haya yanadhaminiwa na USAID na kwamba lengo lake ni kuhakikisha kila Afisa Habari na Mtaalamu wa TEHAMA wa halmashauri na mkoa ulioko katika mradi huo anapata mafunzo kisha kufungua Tovuti ambazo zitazinduliwa rasmi na Waziri wa Habari Utamaduni na Sanaa mjini Dodoma.


Kwa upande wake, Joseline Chambasi, Afisa Habari wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala amesema mafunzo hayo yatarahisisha utoaji wa taarifa kwani yanaenda sambamba na mabadiliko ya teknolojia. Amesema dunia ya sasa iko kiganjani tofauti na dunia, hivyo afisa habari anapaswa kuhakikisha anampa mwananchi taarifa kiganjani kwake kupitia teknolojia ya Wakati husika. 


bonyeza hapa

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa