• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Mkurugenzi Wilaya ya Ruangwa Awahimiza WalimuKuzingatia Maadili Ya Taaluma Yao

Posted on: March 22nd, 2017

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Ndugu Andrea Godfrey Chezue amewaaasa Walimu na kuwataka kuwa na nidhamu katika maeneo yao ya kazini na hata nje ya kazini kwani hii itasaidia kuweza kurekebisha nidhamu kwa Wanafunzi wanaowafundisha.


Alisema Mwalimu mwenye nidhamu ni rahisi kumfanya Mwanafunzi anaemfundisha kuwa na nidhamu ambayo itapelekea kuongeza kiwango cha ufaulu katika mitihani ya ndani na nje ya shule.


Hayo ameyaongea wakati wa kikao cha wadau wa elimu kilichohusisha Waratibu Elimu Kata, Wataaluma, Wakuu wa shule na Makamu kilichofanyika katika ukumbi wa Rutesco kikiwa na lengo la kuangalia njia za kuweza kutoka katika hali ya ufaulu wa sasa uliopo na kufikia nafasi nzuri zaidi.


Naye Afisa Utumishi wa Wilaya ya Ruangwa, Festo Mwangalika amewataka Walimu kutenga muda wa kuzungumza na Wanafunzi wanaowafundisha pale ambapo wanakuwa wamewakosea kwani hii inaaweza ikasaidia kubadili mienendo mimbovu ya Wanafunzi.


Pia aliwaambia  Walimu na Waratibu Elimu Kata kuweza kuwafuatilia Wanafunzi wanaowafundisha ili kuweza kubaini wenye tabia mbovu na kuwasaidia mapema kwani hii itasaidia hata kuongeza ufaulu wa Wanafunzi kwani Mwanafunzi mwenye adabu ni rahisi kuwa na maendeleo mazuri.


Naye Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari, Bi. Hawa Mchopa Bi Zena alisema ilikuweza kuongeza kiwango cha ufaulu katika Wilaya ya Ruangwa inatakiwa Wazazi wawape Walimu ushirikiano katika malezi ya Wanafunzi hao ili kuweza kufikia lengo


Kwani  Watoto hawalelewi na Walimu na Wazazi tu , bali malezi ya Moto ni yajamii nzima, hivyo Jamii inatakiwa kutoa ushirikiano katika malezi hii itasaidia kutoka katika eneo moja kwenda eneo jingine katika hali ya ufaulu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa