• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

DC Mgandilwa tumieni fursa mliyoipata kujikwamua kiuchumi

Posted on: June 13th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe, Hashim Mgandilwa amewataka  vijana kuendeleza kuku waliopewa kwa ajili ya kufuga na shirika la Aghakani kutoka katika idadi ya 10 na kufika katika idadi kubwa zaidi

 Amewaasa kuacha kujibweteka na kufanya kazi kwa juhudu wakiwa na umri huo wenye nguvu na kukiendeleza walichopewa Ili waweze kufikia malengo yao.

Amesema hayo tarehe 13/06/2019 wakati akifunga mafunzo ya ujasiriamali ya ufugaji kuku yaliyofanyika Ruangwa mjini ukumbi wa CCM.


Alisema mheshimiwa Mgandilwa kuna  idadi kubwa ya vijana waliolala sasa wakisubiri kuanza kujishughulisha wakiwa wazee na ndiyo maana ukienda mitaani utakuwa vijana wanazurura wazee wanaenda shamba.

Pia amewataka kuwa na utunzaji na matumizi ya fedha vizuri  waunayoipata bila kuangalia kama ni ndogo au kubwa

"Tengenezeni vifaraga hivyo kama mtaji wenu hamuitaji mtaji mwingine hao hao kuku 10 mnaweza wazalisha wakafika wengi msiwakatishe tamaa watu wanaowapa msaada hiyo Aghakan inajitoa msiwaangushe"


Na yoyote atakaepata shida katika kuku awe mgonjwa au amekufa awasiliane na afisa mifugo wa wilaya kutoa taarifa ikifika mwezi wa mwezi wa saba au wanane nitaanza kupita kwa kila mshiriki kujua maendeleo ya kuku na mafanikio yake.

sambamba na hayo Mhe, Mgandilwa alishukuru shirika la Aghakan kwa msaada wanaotoa hapa Wilayani kwa wananchi kwasababu  wanagusa maisha ya watu  moja kwa moja na kuinua vipato vya watu Wilayani humo.

Aidha aliliomba shirika hilo kutoa pia mafunzo ya kuhusu elimu ya masoko na thamani yake wakulima ili wakulima wajue lini na muda sahihi wa kulima zao fulani.


Naye afisa miradi kilimo ni biashara kutoka shirika la Aghakani kelvin baasa amewataka vijana hao waliopata fursa ya kupata mafunzo hayo kuwa mabalozi kwa vijana wenzao katika kusambaza elimu waliyoipata.



Ndg, Kelvin alisema Aghakani iliendesha mafunzo ya siku 3 ya namna ya ufungaji kuku iliyoshirikisha wajasiriamali 60. na kila mshiriki amepata kuku 10 jumla na jumla ya kuku waliogaiwa ni 600.



MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa