• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Zingatieni ratiba ya kufunguliwa chuo- mwalimu Mbesigwa

Posted on: May 21st, 2022

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Mwalimu George Mbesigwa amewataka vijana waliopata nafasi ya kusoma VETA ya Nandagala kuhakikisha siku ya kufungua chuo tarehe 1/06/2022 kufika chuoni hapo bila kukosa.

Ameyasema hayo wakati wa Kufunga mafunzo ya ufugaji kuki na samaki yaliyofanyika chuoni hapo kwa muda wa siku tano kuanzia tarehe 17 mpaka 21 mwaka huu yaliyojumuisha kata 9 ambazo ni Nandagala, Malolo, Mnacho, Namahema, Chimbila, Likunja, Nkowe, Ruangwa na Nachingwea 

Alisema vijana wanatakiwa kuchangamkia fursa hiyo ya kufika chuo mapema maana ikitokea mtu ajafika basi nafasi yake atapewa mtu mwingine.

"Tunajua VETA inafunguliwa mwezi wa 6 vijana mliopata nafasi mjiandae mapema msijepoteza nafasi hii kwani msipokuja nafasi hii watapewa vijana wa  maeneo mengine" amesema Mbesigwa.

Vilevile alisema anategemea washiriki kwa mafunzo waliyoyapata mtaenda kufanya kwa vitendo na kuwarithisha wananchi wengine ujuzi mliopata.

"Mafunzo haya yangeweza kupelekwa sehemu nyingine ila yameletwa Ruangwa hivyo ni wajibu wenu kuyafanya mafunzo haya endelevu nendeni mkafuge kuku na samaki kama mafunzo mlivyopata" amesema Mbesigwa

Aidha aliuomba uongozi wa VETA Kanda ya Kusini Mashariki kuhakikisha Kata 13 zilizobaki zinapatiwa mafunzo kama haya na mengineyo.

Naye mratibu wa Mafunzo prosper Saki amesema amevutiwa na uitikio wa washiriki Ruangwa wamekuwa wengi tofauti na  sehemu nyingine ambavyo washirikia wengi wanakuwa  30 ila Ruangwa tunawashiriki zaid ya 200.

Aliendelea kusema kutokana na mwitikio huu umemfanya atamani kurudi Ruangwa na mafunzo  kama haya au mengine.

Pia aliwataka washiriki kuendeleza walichokipata katika mafunzo na si kukikalia kwasababu mshiriki anaweza kufuga kuku na samaki na akaendelea kufanya shughuli nyingine za kujipatia kipato.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WILAYA YA RUANGWA KUNUFAIKA NA MRADI WA URASIMISHAJI MAKAZI HOLELA

    June 24, 2025
  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA

    June 23, 2025
  • DED RUANGWA AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU YA RUANGWA VETERAN’S

    June 21, 2025
  • DC NGOMA AZINDUA UWANJA WA MICHEZO WA RUANGWA VETERANS SPORTS CLUB

    June 21, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa