• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

Posted on: February 5th, 2026



Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Zuwena Omary, amewataka Maafisa Habari wa Halmashauri zote za Mkoa huo kuimarisha uhusiano wa karibu na vyombo vya habari, ili kuhakikisha taarifa za Serikali zinawafikia wananchi kwa haraka, kwa usahihi na kwa uwazi.


Akizungumza katika kikao kazi kilichofanyika leo tarehe 5 Februari 2026 katika Ukumbi Mdogo wa Mikutano uliopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Bi. Omary amesema kuwa mahusiano mazuri kati ya Maafisa Habari na waandishi wa habari ni msingi wa kujenga uaminifu wa umma na kuimarisha taswira ya Serikali.


Amesisitiza kuwa kwa kushirikiana na vyombo vya habari kwa uwazi, kwa kuheshimiana na kwa kutoa taarifa kwa wakati, Serikali itaweza kuifikia jamii kwa ufanisi zaidi na kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo.


“Vyombo vya habari ni wadau muhimu. Mnapoimarisha uhusiano nanyi, mnaimarisha mawasiliano ya Serikali kwa wananchi,” amesema Bi. Omary.


Aidha, amewahimiza Maafisa Habari kutumia vyombo vya habari kama daraja la kutangaza fursa za uwekezaji, miradi ya maendeleo na mafanikio ya Mkoa wa Lindi bila kusahau kutumia vizuri tovuti na mitandao ya kijamii ya Halmashauri zao.


Kikao hicho kimewakutanisha Maafisa Habari kutoka Halmashauri zote za Mkoa wa Lindi, kikilenga kuimarisha ushirikiano na kujadili mbinu bora za kujenga mahusiano endelevu kati ya Serikali na vyombo vya habari.

Matangazo

  • NAFASI ZA KUJITOLEA HALMSHAURI YA WILAYA YA RUANGWA February 13, 2026
  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • DED CHONYA AZINDUA MAFUNZO YA WATUMISHI 131 WA AJIRA MPYA RUANGWA

    February 28, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI RUANGWA LAPITISHA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 40.2 KWA MWAKA 2026/2027

    February 23, 2026
  • MICHE BORA 175,701 YA KOROSHO KUWANUFAISHA WAKULIMA RUANGWA

    February 19, 2026
  • IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YAGAWA KOMPUTA MPAKATO KWA MAAFISA MAENDELEO RUANGWA

    February 19, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa