• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

ZAIDI YA MILIONI 565 ZATOLEWA KWA VIKUNDI 136 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU RUANGWA

Posted on: February 7th, 2025

Zaidi ya Shilingi Milioni 565,517,154/= zimetolewa kwa vikundi 136 vya Wanawake, Vijana, na Watu wenye Ulemavu kupitia mpango wa mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, hafla ya uzinduzi wa mikopo hiyo imefanyika leo, Februari 7, 2025, katika ukumbi wa hoteli ya Ruangwa Pride, ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Mhe. Hassan Ngoma, kwa kushirikiana na uongozi wa Halmashauri hiyo.


Mhe. Ngoma ameagiza viongozi wa Wilaya na Halmashauri kuhakikisha kuwa kanuni za utoaji mikopo zinazingatiwa, mikopo inasambazwa kwa haki na kwa wakati, ili kufanikisha lengo la Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, la kuwawezesha wananchi kiuchumi.


Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Ndugu Frank Komba, amesema kuwa kati ya vikundi vilivyonufaika, 78 ni vya Wanawake, 48 vya Vijana, na 10 vya Watu wenye Ulemavu. Ameeleza kuwa ufuatiliaji na usimamizi wa mikopo hiyo unapaswa kuimarishwa ili kuhakikisha marejesho yanafanyika kwa wakati na kuwapa fursa wengine kunufaika.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Mhe. Andrew Chikongwe, amewataka wanufaika kutumia mikopo hiyo kwa malengo yaliyokusudiwa na kuhakikisha wanarejesha kwa wakati, lakini pia, amesisitiza umuhimu wa wanavikundi kushiriki katika shughuli za kijamii na maendeleo, ikiwa ni pamoja na kuhudhuria mikutano ya hadhara.


Kwa upande wao, wanufaika wa mikopo hiyo, akiwemo Rehema Saidi, mwakilishi wa vikundi vya Wanawake, Kasimu Mnanguka kutoka Kikundi cha Mshikamano mwakilishi wa vijana, na Ramadhan Abdallah, mwakilishi wa Watu wenye Ulemavu, wameishukuru Serikali kwa kuwawezesha na wameahidi kurejesha mikopo kwa wakati ili kusaidia wengine kunufaika.


Ili kuhakikisha mpango huu unaleta matokeo chanya, ni muhimu kwa wanufaika kutumia mikopo hiyo kwa malengo yaliyokusudiwa na kuimarisha nidhamu ya marejesho.


@lindi-rs

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • TAARIFA KWA UMMA

    June 04, 2025
  • WANAFUNZI RUANGWA WAIBUKA KIDEDEA USAFI NA UNADHIFU UMISSETA 2025 MKOA WA LINDI

    June 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU WATEMBELEA MRADI WA UHIFADHI WA MAZINGIRA NA NISHATI SAFI WANDORWA

    May 28, 2025
  • RUANGWA YAPOKEA MWENGE WA UHURU 2025 KUTOKA LINDI MANISPAA

    May 28, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa