• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Wananchi kata ya Mbekenyera waridhia kutoa Eneo na kushiriki ujenzi shule Mpya ya Sekondari

Posted on: July 7th, 2023

Wananchi kata ya Mbekenyera wilayani Ruangwa mkoani Lindi wameridhia kutoa maeneo Zaidi ya hekari 30 pamoja na kushiriki katika nguvu kazi za ujenzi wa Shule ya sekondari tarajiwa inayotajwa wenda ikaja kuitwa shule ya sekondari Nambawala.

Hatua hiyo inakuja kufuatia kata hiyo kupokea kiasi cha fedha shilingi milioni 560 za ujenzi wa shule mpya ya sekondari katani hapo kupitia Mradi wa kuimarisha ubora wa elimu ya sekondari (SEQUIP).

Akiongea na wananchi wa kata ya mbekenyera julai 7 mwaka huu kwa niaba ya mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa Afisa elimu sekondari wilayani humo Mwalimu Ernest Haule ametoa shukrani kwa wananchi wa kata hiyo kwa kukubali kutoa eneo litakalojengwa shule hiyo na kuwaomba kuwa walinzi wa vifaa vya ujenzi wakati mradi huo utakapoanza kutekelezwa.

“kila kila mmoja akawe mlinzi wa vifaa vya ujenzi ili kudhibiti wizi, vifaa vingi huwa vinaibiwa wakati ujenzi unaendelea tuache tabia hiyo” alisema Haule.

                                                                                                                                      Mwl. Ernest Haule Afisa Elimu Sekondari wilaya ya Ruangwa.

Kwa upande wake kaimu Mhandisi wa wilaya Philemon David amebainisha aina ya ujenzi hiyo inategemewa kuwa ya force account lakini itatumia mzabuni ambapo wananchi watakua miongoni mwa kamati mbili kamati ya mapokezi na kamati ya ujenzi huku akianisha kuwa watalaam wa Halmashauri watakua wafuatiliaji kupita kugagua maendeleo ya mradi katika kila hatua wakati ujenzi utakapokua unaendelea.

“Sisi kazi yetu kama halmashauri hasa wataalamu ni kupita na kushauri katika kila hatua ya ujenzi wakata mradi unaendelea” alisema Mhandisi Philemon

Baadhi ya wananchi wa kata hiyo akiwamo Omari Mohamed, na Hamisi chimale ambae ni Diwani wa kata hiyo wamesema wameupokea mradi huo na kwamba wako tayari kushiriki kuchangia nguvu kazi hatu ili kukamilisha kwa wakati mradi huo.

Kata ya mbekenyera inatajwa kuwa na jumla ya shule tisa za msingi na kusbabisha kuwa na idadi kubwa ya wanafunzi wanaofaulu Kwenda sekondari moja ambayo haitoshelezi hatua hiyo imepelekea kuwa na uhitaji mkubwa wa shule nyingine katani humo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA MPARA WAFANYA USAFI KUJIANDAA NA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

    May 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA YATUNUKIWA TUZO KWA KUONGOZA KATIKA VIASHIRIA VYA AFYA MKOA WA LINDI

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa