• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Wakulima wasitegemee zao moja la Ukanda wa Kusini -DC SeleMani Mzee

Posted on: August 3rd, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Masasi Mhe.Selemani Mzee  ambaye alimwakilisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe.Selemani Jafo wamewataka wananchi wa Mikoa ya Lindi na Mtwara kutotegemea zao moja la biashara kutokana na ardhi ya mikoa hiyo kustawisha aina nyingi za mazao.

Mzee ameyasema hayo alipokuwa akizindua Maonesho ya wakulima maarufu kama nane nane  ya kanda ya kusini katika viwanja vya Ngongo Manispaa ya Lindi.

Alisisitza kuwa kwa miaka ya hivi karibuni uzoefu na utafiti wa wataalam mbali mbali umeonesha kuwa kanda ya kusini kuna ardhi nzuri na rafiki kwa aina mbali mbali za mazao ya chakula na biashara ambayo huko nyuma hayakuwepo.


Alitaja baadhi ya mazao ya biashara ambayo yameonekana kustawi katika maeneo mengi ya Kusini ni pamoja na Ufuta,karanga, alizeti,choroko pamoja na mbaazi.

Mbali na hayo lakini pia Mhe.mgeni rasmi pia aliwasisitiza wananchi kuzingatia kilimo cha kisasa ili kupata mazao mengi na bora kwa ajii ya soko la ndani na nje ya nchi akitoa mfano wa zao la ufuta ambapo kwa msimu unaishia mwezi huu wa nane 2019 ambapo zaidi ya tani 60,000 za ufuta zimeshauzwa mpaka sasa ambapo kwa kiasi kikubwa zao hili linasafirishwa kwenda nje ya nchi.


‘’Mwaka huu mmefanya vizuri kwenye zao la ufuta ambapo Zaidi ya tani 60,000 zimeuzwa na kuingiza zaidi ya shilingi bilioni 160 zimeshapatikana kwa kipindi kifupi cha miezi miwili’’ aliongeza Mhe.Mzee.

Mhe.Mgeni rasmi pia aliwakumbusha wananchi wa baadhi ya maeneo yenye migogoro ya ardhi kuwa mpaka sasa katika mikoa ya Lindi na Mtwara sehemu ya ardhi inayotumiwa ni asilimia 26 tu na kiasi kinachobaki bado ni mapori na hivyo kuwaomba wananchi kila mmoja kuzingatia sharia,mipaka na mipango ya matumizi bora ya ardhi kama ilivyoainishwa, alisema ni ajabu kiongozi wa Wilaya au Mkoa kuitwa kusuluhisha mgogo wa ardhi huku kukiwa na mapori mengi katika maeneo yao.


Uzinduzi wa maonesho hayo yalihudhuriwa na viongozi mbali mbali wa Mkoa ya Lindi na Mtwara wakiwemo wakuu wa wilaya zote, wakurugenzi, wenyeviti wa halmashauri, madiwani pamoja na kamati ya ulinzii na usalama.

Manesho haya yanawajumuisha wataalam kutoka wilaya zote za kanda husika, taasisi mbalimbali za kilimo,ushirika na biashara pamoja na wananchi wanaotoka kwenye vikundi na mmoja mmoja kulingana na maeneo yao.

Kauli mbiu ya mwaka huu ni ‘’Kilimo, mifugo na uvuvi kwa ukuaji wa uchumi wa  nchi”

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa