• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Wafugaji wakubwa waondoke ruangwa- Mhe Naku

Posted on: August 14th, 2019

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Mhe, Rashidi Nakumbya imewataka wafugaji wakubwa waliovamia katika Wilaya hiyo kuondoka mara moja katika maeneo hayo walioweka kambi kwasasa kwasababu wameingia katika Wilaya ambayo haina eneo la kupokea wafugaji wakubwa.

Agizo hilo limetolewa leo tarehe 14/08/2019 kwenye kikao cha Baraza Madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa Rutesco Ruangwa mjini.

“Ieleweke siyo kuwa tunawakataa hawa wafugaji  bila sababu tunasababu Wilaya ya Ruangwa inaeneo dogo ambalo linauwezo wa kupokea wafugaji mwenye ng’ombe kumi mpaka ishirini tu”

Aliendelea kusisitiza kuwa eneo kililopo ndani ya Wilaya ya Ruangwa kwa kilimo tu halitoshi hivyo hawawezi kupokea wafugaji wakubwa, wafugaji wakubwa na waliopo Wilayani humu waanze kuondoka mara moja na ameomba vyombo vya usalama vya Wilayani viwasaidie kuwaondoa wafugaji hao ambao wameishafanya mazungumzo nao sana.

Mhe. Nakumbya aliongeza kuwa ustaarabu na uvumilivu wa wakazi wa Ruangwa umekuwa unawafanya waonekane ni wadhaifu jambo linalowafanya wafugaji hao kuingiza mifugo yao kwa ubabe kwenye mashamba ya watu  na kwa makusudi


“Msitulazimishe kushika mapanga kama nyie mnavyofanya, Ruangwa ni kisiwa cha amani ondokeni kwa amani hatuwaitaji katika eneo letu mliyoyafanya yanatosha ondoeni mifugo yenu atujawakaribisha mmevamia ondokeni mara moja”

Naye Diwani wa kata ya Matambalale Omari Liwikila alisema wafugaji wamekuwa wakitumia lugha mbaya na silaha jambo lililosababisha kujeruhiwa kwa mkazi mmoja kwenye kata ya Matambalale baada ya wafugaji hao kuvamia eneo hilo

Mheshimiwa Diwani alisema wafugaji hawa wamekuwa wanaingia kwa kuvamia na kusababisha maafa ya mazao na binaadamu bila kujali utu na katika kata hiyo mpaka sasa ni watu wa tatu wamefanyiwa vitendo hivyo vya ukatili na wafugaji hao.

Mhe,Liwikile alisema wafugaji hao wamekuwa wakilisha mifugo yao kwenye mashamba ya wakulima wa Ruangwa huku wenyewe wakiishi kilwa hali inayosababisha wasipatikane pindi wanapotafutwa.

“Hivyo Mwenyekiti niombe Halmashauri yetu ifanye mazungumzo Na Halmashauri ya Kilwa iwadhibiti wafugaji wa eneo lao kwani madahara wanayoyaleta sasa watakuja kusababisha madhara makubwa zaidi hasa wanaoishi katika eneo la mto Mbwemkuru”

Baraza la Madiwani kwa pamoja liliazimia wafugaji hao waondoke mara moja katika Wilaya ya Ruangwa na waache kuingiza mifugo yao na kulishia katika mashamba ya wakazi wa Ruangwa

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa