• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Viongozi wa serikali ya vijiji waaswa kufuata sheria katika kuongoza wananchi

Posted on: May 25th, 2022

Mwezeshaji wa mafunzo ya Utawala bora ndg, Uzima Justine amewaambia washiriki wa mafunzo wakayafanye mafunzo hayo yawe na tija na walichokipata wakakifanyie kazi.

Ameyasema hayo wakati akizungumza na washiriki katika mafunzo  ya Utawala Bora yaliyofanyika ukumbi wa Mkuu wa Wilaya Ruangwa mjini.

Ndg Justine alisema washiriki wakafanye kazi kwoa juhudi waache visingizio na watimizie wajibu wao kwa kufuata sheria na taratibu zote.

Aliendelea kusema mwanzo watendaji wa vijiji, wenyeviti wa vijiji na vitongoji walikuwa wanafanya kazi bila kujua wanapokosea hivyo waende wakafuate sheria za Utawala bora kama walivyofundishwa.

Aidha aliwataka kuhakikisha vijiji vyao vipo  katika hali ya ulinzi, utulivu, amani na usalama Ili watu wawezi kufanya shughuli za uzalishaji mali.

Alisema wananchi hawezi kuzalisha mali kama kijiji hakina amani, utulivu na usalama hivyo wahakikishe amani azivunjwi ovyo kwani uzalishaji mali wa wananchi ni vyanzo vya mapato serikali ya kijiji.

Pia aliwataka wenyeviti wakijiji kuchukua hatua za kisheria kwa wahalifu waliopo maeneo yao baada ya kubainika kama ni wahalifu na wamefanya uhalifu.

Naye Mshiriki wa Mafunzo Mwenyekiti wa Kijiji cha Likangara Said Kauchumbe alisema anaishukuru taasisi ya CETA kwa kuwaletea mafunzo haya kwasababu yamewajenga na yamewapatia vitu vingi vya umuhimu.

Alisema Mwenyekiti walikuwa wanaongoza wananchi bila kufuata taratibu na walikuwa awajui makosa yao hivyo baada ya kupata mafunzo haya ni kama wamekuwa wapya katika uongozi wao.

Alisema anaomba uongozi wa  Jukwaa la Elimu ya Uraia Tanzania (CETA) kuendelea kuwaletea mafunzo mengine ya kuweza kuwajengea uwezo katika kutenda kazi zao na pia CETA waweze kuwafikia viongozi wa serikali wa kijini wilayani kote Ruangwa.

Mafunzo haya yanahusisha Mwenyeviti wa vijiji, Watendaji wa Vijiji, na Wenyeviti wa kamati za kudumu za vijiji mpaka sasa mafunzo yametolewa kwa vijiji 44 na kata zote 22 na jumla ya washiriki waliopokea mafunzo hayo ni 355.

Mafunzo haya yatawafikia Mwenyeviti wa kijiji, Watendaji wa vijiji na Wenyeviti wa Kamati za kudumu za Vijiji wote walio ndani ya Ruangwa

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • TAARIFA KWA UMMA

    June 04, 2025
  • WANAFUNZI RUANGWA WAIBUKA KIDEDEA USAFI NA UNADHIFU UMISSETA 2025 MKOA WA LINDI

    June 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU WATEMBELEA MRADI WA UHIFADHI WA MAZINGIRA NA NISHATI SAFI WANDORWA

    May 28, 2025
  • RUANGWA YAPOKEA MWENGE WA UHURU 2025 KUTOKA LINDI MANISPAA

    May 28, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa