• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Utendaji utapimwa kwa kukamilisha miradi kwa wakati

Posted on: June 8th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mheshimiwa Hassan Ngoma amewataka  watendaji walio na miradi ya ujenzi  kuhakikisha miradi wanayotekeleza inaisha kwa wakati.

Ameyasema hayo wakati wa kikao cha baraza la madiwani cha robo ya tatu kilichofanyika  tarehe 7 na 8/06/2022 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya 

Mheshimiwa Ngoma alisema kuna miradi inayotarajiwa kukamilika tarehe 20 ya mwezi huu watendaji wanaosimamia miradi hiyo wafanye kazi ya ziada kuhakikisha inaisha kama inavyotakiwa.

"Nafanya ziara nikipita katika vijiji vyote watendaji simamieni miradi ikamilike, acheni maneno kinachoitajika ni utendaji".

Pia amewataka wananchi/madiwani wasimamie ufanisi na usalama wa miradi iliyo katika maeneo yao kwani ni wajibu wao kufanya ivyo.

"Acheni kurudi nyuma msitishwe na maneno ya watendaji wenye nia ovu, ni wajibu wenu kutembelea na kusimamia miradi  katika maeneo yenu"amesema Ngoma

Aidha alisisitiza Waheshimiwa Madiwani kufanya mikutano ya vijiji katika maeneo yao ili kutatua changamoto katika maeneo yao.

"Nategemea ninapopita katika ziara zangu nikute mmefanya mikutano na mmeanza kutatua changamoto zilizopo katika maeneo yenu" alisema Ngoma

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Andrea Chikongwe alimpongeza mbunifu super mkuti kwa tunzo alizopokea na namna anavyofanya ubunifu wake.

Alisema Halmashauri itaangalia namna ya kumsaidia mbunifu huyo ili aweze kufanya vitu vizuri zaidi na kumtengenezea masoko ya bidhaa zake.

"Tutafuta masoko kwa ajili ya bidhaa anazotengeneza ila pia halmashauri iendele kuvumbua wabunifu wengine walio katika halmashauri hii" amesema Chikongwe
MWISHO


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 17.11.2025 November 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III August 09, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • HOSPITALI YA WILAYA YA RUANGWA YAPATA USAJILI KWA MAFUNZO ENDELEVU YA KITAALUMA (CPD)

    November 20, 2025
  • MHE NGOMA AWAPONGEZA NMB KWA KUIPANDISHA THAMANI YA KOROSHO KWA WANANCHI WA RUANGWA

    November 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA 2025

    November 15, 2025
  • MAAFISA UTAMADUNI WAKUTANA NA WALAMBO, NGARIBA NA WAMILIKI WA VIWANJA VYA JANDO NA UNYAGO

    November 14, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa