• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Mpango wa matumizi bora ya ardhi ni kwa manufaa ya wananchi; washirikishwe

Posted on: July 30th, 2022


Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe. Hassan Ngoma ametoa wito kwa wananchi wa Wilaya hiyo kutambua thamani ya utunzaji rasilimali zao kama misitu na mito  katika maeneo yao

Amesema hayo leo tarehe 30/06/2022 wakati wa kupitisha wa mpango wa matumizi bora ya ardhi katika kijiji cha Narungombe.

Amesema mpango wa matumizi bora ya ardhi ni maelekezo ya serikali na mkakati ni kila kijiji cha Ruangwa kiwe katika mpango wa matumizi bora ya ardhi.

"huu si mpango wa mkuu wa wilaya au Mkurugenzi haya ni maelekezo na sheria ipo tangu zamani na kila tutakapokuwa tunapata fedha kila kijiji kitafikiwa" amesema Ngoma

Amesema  Mheshimiwa Ngoma, katika kutekeleza Mpango wa matumizi bora wananchi wa eneo husika wanapaswa kushirikishwa na kusikilizwa maoni yao  wakati zoezi likiendelea.

"Huu ni mpango wa serikali hivyo ni muhimu utekelezwe ila rudini katika vitongoji vyenu mkasikilize wananchi wenu maoni yao na yafanyiwe kazi".

Naye kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Ndgu. George Mbesigwa amesema

Sasa ni muda wa  kuacha kuishi kwa mazoea na kuanza kuishi kwa kufuata sheria za matumizi bora ya ardhi.

"tunapaswa kubadilika tuanze sisi na wengine watabadilika, tubadilike kifikra na tujue

Kulima katika mto ni kukausha mito. tubadilike kifikra kwasababu tumeshapewa elimu, sitegemei kuona hili jambo likitokea hapa kwetu Narungombe" amesema Mbesigwa.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA KATIBU MAHSUSI NA MTENDAJI WA KIJIJI June 26, 2022
  • Tangazo la uuzaji mahindi ya bei rahisi March 19, 2020
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI 23/ 08/2022 May 31, 2022
  • TANGAZO LA KUTAFUTA FUNDI UJENZI SHULE YA MPYA YA SEKONDARI KITANDI September 24, 2021
  • Ona zote

Habari mpya

  • Uadilifu unahitajika ili misitu iwe endelevu na mapato yawe ya uhakika

    July 12, 2022
  • WAZIRI MKUU AKABIDHI MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WAJASIRIAMALI RUANGWA.

    July 08, 2022
  • WAZIRI MKUU AKABIDHI MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WAJASIRIAMALI RUANGWA.

    July 08, 2022
  • WAZIRI MKUU AKABIDHI MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WAJASIRIAMALI RUANGWA.

    July 08, 2022
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa