• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MKUU WA WILAYA RUANGWA AONGOZA ZOEZI LA UPANDAJI MITI SHULE YA KITANDI

Posted on: April 10th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Mhe. Hassan Ngoma ameongoza zoezi la upandaji miti kiwilaya lililofanyika leo Aprili 10, 2025 katika Shule ya Sekondari Kitandi iliyopo Kata ya Likunja, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa sera ya Serikali inayolenga kila Wilaya kupanda miti.


Zoezi hilo limeratibiwa na Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) kwa lengo la kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi na kuhifadhi mazingira, ambapo wananchi, walimu, wanafunzi na viongozi wa Serikali wameshiriki kikamilifu.


Akizungumza katika zoezi hilo, Mhe. Ngoma ametoa wito kwa walimu na wanafunzi wa shule hiyo kuitunza miti hiyo kwa uangalifu huku akiwasisitiza wafugaji kuhakikisha wanadhibiti mifugo yao kwa kufanya ufugaji wa zero grazing.


 “Ni jukumu letu kuhakikisha miti hii inakua na kufanikisha lengo la Taifa la kuwa na mazingira bora kwa vizazi vya sasa na vijavyo,” amesema Mhe. Ngoma.


Kwa upande wake, Muhifadhi Misitu Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Bw. Samwel Tamka amewahamasisha wananchi kufika katika Ofisi za TFS kupata miche ya miti na kuipanda katika maeneo yao ili kuunga mkono juhudi za Serikali katika utunzaji wa mazingira.


Naye Mkuu wa Shule ya Sekondari Kitandi, Mwl. Arafa Msuya ameushukuru Uongozi wa Wilaya pamoja na TFS kwa kuchagua shule yao kuwa sehemu ya zoezi hilo na kueleza kuwa miti hiyo itasaidia kupunguza mmomonyoko wa udongo unaosababishwa na mwinuko uliopo katika eneo la shule hiyo.


Akizungumza kwa niaba ya wanafunzi, Hajra Selemani Hamis ameishukuru Serikali kwa zoezi hilo akieleza kuwa miti iliyopandwa itawasaidia wanafunzi kwa kutoa kivuli na kuboresha mazingira ya kujifunzia shuleni hapo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • TAARIFA KWA UMMA

    June 04, 2025
  • WANAFUNZI RUANGWA WAIBUKA KIDEDEA USAFI NA UNADHIFU UMISSETA 2025 MKOA WA LINDI

    June 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU WATEMBELEA MRADI WA UHIFADHI WA MAZINGIRA NA NISHATI SAFI WANDORWA

    May 28, 2025
  • RUANGWA YAPOKEA MWENGE WA UHURU 2025 KUTOKA LINDI MANISPAA

    May 28, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa