• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MKURUGENZI RUANGWA AZINDUA JARIDA LA AFYA KUHAMASISHA HUDUMA BORA

Posted on: July 28th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Ndugu Frank Fabian Chonya, amezindua rasmi Jarida la Afya la Wilaya hiyo leo Julai 28, 2025, katika hafla iliyofanyika Ruangwa Pride Hotel.


Uzinduzi huo umehudhuriwa na wataalamu wa afya, viongozi wa Serikali, wadau wa maendeleo na wananchi, ambapo jarida hilo limeelezwa kuwa chombo muhimu cha mawasiliano, uhamasishaji na ujifunzaji katika sekta ya afya.


Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Ndugu Chonya amesema jarida hilo ni kioo cha kazi zinazofanywa na sekta ya afya wilayani humo, likiwakilisha taarifa muhimu, changamoto, mafanikio na dira ya mbele ya huduma za afya.


Aidha, jarida hilo linajumuisha maudhui ya kitaalamu, hadithi za mafanikio, tafiti fupi, takwimu, na mikakati ya kisekta katika kuimarisha huduma za afya kwa wananchi, hasa katika mapambano dhidi ya magonjwa ya mlipuko, huduma ya mama na mtoto na uboreshaji wa miundombinu ya afya.


Vilevile, wageni walioudhuria hafla hiyo wamesema wamefurahishwa na hatua hiyo, wakieleza kuwa ni mfano wa kuigwa kwa Halmashauri zingine nchini, na ushahidi wa dhamira ya kweli ya Serikali katika utoaji wa huduma bora za afya.

Kwa upande mwingine, Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa imeendelea kufanya maboresho makubwa kwenye sekta ya afya kwa kushirikiana na Serikali Kuu na wadau mbalimbali, ikijumuisha kuimarisha ufuatiliaji wa huduma na uwajibikaji wa watendaji katika ngazi zote.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WIKI YA UNYONYESHAJI DUNIANI MWAKA 2025 KUAANZA KESHO

    July 31, 2025
  • MKURUGENZI RUANGWA AZINDUA JARIDA LA AFYA KUHAMASISHA HUDUMA BORA

    July 28, 2025
  • ASHALONGO FC YAIBUKA KIDEDEA KWA PENALTI 6:5 DHIDI YA TIMU YA AFYA, YANYAKUA MBUZI MAJALIWA STADIUM

    July 27, 2025
  • TUKUTANE NANE NANE KANDA YA KUSINI

    July 27, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa