• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MKURUGENZI RUANGWA AONGOZA KIKAO CHA WATUMISHI, AHIMIZA UWAJIBIKAJI NA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA

Posted on: July 25th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Ndugu Frank Fabian Chonya, amefanya kikao na watumishi wote wa Makao Makuu ya Halmashauri hiyo kwa lengo la kujadili masuala ya kiutumishi na kuimarisha uwajibikaji kazini.


Kikao hicho kimefanyika leo Julai 25, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri na kimekusudia kuweka misingi bora ya utekelezaji wa majukumu kwa kuzingatia maadili ya kazi, weledi na nidhamu kwa kila mtumishi wa umma.


Katika hatua nyingine, Mkurugenzi Chonya amesisitiza kwamba kila mtumishi anatakiwa kuwajibika ipasavyo ili kufanikisha maendeleo ya Wilaya ya Ruangwa na taifa kwa ujumla. Amesema nidhamu na uaminifu kazini ni misingi muhimu ya mafanikio ya taasisi yoyote.

Aidha, amewataka watumishi wote kuendeleza ushirikiano waliouonesha katika kipindi kilichopita, hali ambayo imesababisha Halmashauri hiyo kufanikisha ukusanyaji wa mapato kwa asilimia 101 katika mwaka wa fedha 2024/2025.


Pamoja na hayo, Mkurugenzi amesisitiza kuwa mafanikio hayo yanapaswa kuwa chachu ya kuendeleza bidii na kujituma ili makusanyo ya mapato kwa mwaka wa fedha 2025/2026 yawe bora zaidi.


Vilevile, amewaasa watumishi kuwa mstari wa mbele katika kuwahudumia wananchi kwa uadilifu na kwa kuzingatia dira ya maendeleo ya Wilaya, huku akiwataka kuwa mabalozi wa mabadiliko chanya mahali pa kazi.

Kwa upande wao, watumishi wa Halmashauri hiyo wamemshukuru Mkurugenzi kwa uongozi wake bora, ushirikiano na moyo wa kujali ustawi wa watumishi, na wameahidi kuendelea kutoa huduma kwa weledi na uadilifu kwa maendeleo ya Ruangwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 17.11.2025 November 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III August 09, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • HOSPITALI YA WILAYA YA RUANGWA YAPATA USAJILI KWA MAFUNZO ENDELEVU YA KITAALUMA (CPD)

    November 20, 2025
  • MHE NGOMA AWAPONGEZA NMB KWA KUIPANDISHA THAMANI YA KOROSHO KWA WANANCHI WA RUANGWA

    November 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA 2025

    November 15, 2025
  • MAAFISA UTAMADUNI WAKUTANA NA WALAMBO, NGARIBA NA WAMILIKI WA VIWANJA VYA JANDO NA UNYAGO

    November 14, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa