• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MKURUGENZI RUANGWA AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA AJILI YA SHIMISEMITA 2025

Posted on: July 23rd, 2025

Katika maandalizi ya kushiriki mashindano ya SHIMISEMITA 2025 yatakayofanyika Agosti Jijini Tanga, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Ndugu Frank Fabian Chonya, amekabidhi vifaa vya michezo kwa timu ya watumishi wa Halmashauri hiyo, leo Julai 23, 2025.


Makabidhiano hayo yamefanyika katika Uwanja wa Majaliwa ambapo Mkurugenzi Chonya amesema lengo ni kuhamasisha afya, mshikamano na ushiriki wa watumishi katika shughuli za kitaifa.


Akizungumza katika hafla hiyo fupi, Chonya amesema kuwa vifaa hivyo ni motisha kwa wachezaji, lakini zaidi ni wito wa ushindi na uwakilishi wa heshima kwa Ruangwa.

 “Mkiwa wawakilishi wa Ruangwa, tunatarajia mkaoneshe nidhamu, ushindani na uzalendo. Sisi ni timu moja ndani na nje ya kazi,” amesema Chonya.

Kwa kuongezea, vifaa vilivyotolewa ni pamoja na seti mbili za jezi rasmi, soksi, mipira ya mazoezi, vihuzi na vifaa vingine muhimu kwa maandalizi ya timu.


Aidha, amekumbusha kuwa wachezaji hao wanabeba taswira ya Halmashauri wanaposhiriki mashindano ya SHIMISEMITA, hivyo wanapaswa kuwa mfano wa nidhamu na mshikamano hata nje ya uwanja.


Kwa upande mwingine, watumishi walioshiriki hafla hiyo wameeleza kufurahishwa kwao na hatua hiyo, wakisema imeongeza ari, mshikamano na morali kuelekea mashindano hayo ya kitaifa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI RUANGWA AONGOZA KIKAO CHA WATUMISHI, AHIMIZA UWAJIBIKAJI NA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA

    July 25, 2025
  • MKURUGENZI RUANGWA AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA AJILI YA SHIMISEMITA 2025

    July 23, 2025
  • BADO SIKU 7

    July 24, 2025
  • MHASIBU RUANGWA APATIWA TUZO KWA UCHAPAKAZI

    July 21, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa