• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

Posted on: May 3rd, 2025

Waziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Mhe. Kassim Majaliwa, amesema Wilaya ya Ruangwa imenufaika kwa kiasi kikubwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Akizungumza leo Mei 3, 2025, katika kikao cha wajumbe wa mabaraza ya Jumuiya za CCM kilichofanyika katika bwalo la Shule ya Awali na Msingi ya Wonder Kids, Majaliwa amesema kuwa katika kipindi cha uongozi wa Rais Samia, miradi mikubwa imeanzishwa na mingine kuendelea kutekelezwa kwa mafanikio makubwa.


Aidha, Katika sekta ya afya, amesema idadi ya vituo vya afya imeongezeka kutoka viwili mwaka 2010 hadi kufikia 12, huku zahanati zikiongezeka kutoka 22 hadi 35, hatua iliyosogeza huduma karibu na wananchi na kupunguza msongamano katika hospitali kubwa.

Ameongeza kuwa, Sekta ya elimu pia imenufaika kwa kiasi kikubwa ambapo shule za sekondari zimeongezeka kutoka 16 hadi 30, jambo lililosaidia kuongeza fursa za elimu kwa watoto wa Ruangwa na kupunguza umbali wa kutafuta shule.


Sambamba na hayo, Waziri Mkuu ameeleza kuwa mradi mkubwa wa maji wa Nyangao–Ruangwa–Nachingwea unaendelea kutekelezwa, ukihusisha vijiji 34 vya Ruangwa na vijiji 21 vya Nachingwea, na unatarajiwa kuwahudumia wakazi 128,657 baada ya kukamilika.


 Wilaya hiyo inaendelea na ujenzi wa barabara za ndani kwa kiwango cha lami pamoja na ujenzi wa barabara ya Nanganga–Ruangwa ambayo ipo katika hatua za mwisho za ukamilishaji, ikilenga kuboresha usafiri na uchukuzi ndani ya Wilaya.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Hassan Ngoma, ameipongeza Serikali kwa kufanikisha utekelezaji wa miradi hiyo na kusisitiza kuwa Serikali inaendelea kujidhatiti kuboresha huduma muhimu za kijamii kwa wananchi wa Ruangwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA MPARA WAFANYA USAFI KUJIANDAA NA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

    May 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA YATUNUKIWA TUZO KWA KUONGOZA KATIKA VIASHIRIA VYA AFYA MKOA WA LINDI

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa