• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MHASIBU RUANGWA APATIWA TUZO KWA UCHAPAKAZI

Posted on: July 21st, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Ndugu Frank Fabian Chonya, amekabidhituzo kwa Mhasibu wa Halmashauri hiyo, Joseph Mdasia Maheke, leo tarehe 21 Julai 2025, kama ishara ya kutambua mchango na uchapakazi wake katika utumishi wa umma.


Tukio hilo limefanyika katika kikao cha kawaida cha Menejimenti ya Halmashauri (CMT) kilichofanyika kwenye ukumbi wa Mkurugenzi, ambapo viongozi na wakuu wa idara wameshuhudia na kushiriki kumpa pongezi Mhasibu huyo kwa utendaji wake bora.


Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo, Mkurugenzi Chonya ameleza kuwa Maheke ameonesha weledi, uaminifu na bidii kazini, mambo ambayo yanapaswa kuwa mfano kwa watumishi wengine. Amesisitiza kuwa Halmashauri itaendelea kuwatambua na kuwathamini watumishi wanaotekeleza majukumu yao kwa uadilifu na ufanisi.


 “Madasia ameonesha kiwango cha juu cha uwajibikaji, uaminifu na bidii kazini.

Halmashauri inatambua na kuthamini watumishi wanaoweka juhudi na uadilifu katika kazi zao, tunataka hili liwe somo na motisha kwa wengine.” amesema Chonya.

Kwa upande wake, Mdasia ameshukuru kwa tuzo hiyo na kueleza kuwa imempa nguvu mpya ya kuendelea kuhudumu kwa moyo wa uzalendo, kufanya kazi kwa bidii zaidi kwa manufaa ya wananchi wa Ruangwa na maendeleo ya taifa kwa ujumla.


“Ninashukuru sana kwa kutambuliwa. Tuzo hii si yangu peke yangu, bali ni ya timu nzima tunayoshirikiana nayo kila siku, naahidi kuendelea kuwajibika kwa uaminifu na bidii zaidi.” amesema Mdasia.


Hata hivyo, Mkuu wa Kitengo cha Fedha na Uhasibu CPA Goodluck Bernard Swai amepongeza juhudi na mwenendo mzuri wa Mdasia, akimtaja kuwa mfano wa kuigwa katika suala la maadili, weledi na kujituma. Amesisitiza kuwa utambuzi kama huu huongeza morali kazini na kuchochea maendeleo ya taasisi kwa ujumla.

Matangazo

  • NAFASI ZA KUJITOLEA HALMSHAURI YA WILAYA YA RUANGWA February 13, 2026
  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • ASHALONGO FC VS KIBWANA FARM FC, HAKUNA MBABE

    February 08, 2026
  • RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    February 05, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa