• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Marufuku Kuuza au Kuchinja Ng'ombe wa Mradi wa kopa Ng'ombe lipa ng'ombe: Amesema Nakumbya

Posted on: October 18th, 2017

Mwenyekiti wa Halmashauri, Mheshimiwa Rashidi Nakumbya ameiagiza serikali ya Kijiji cha Mitope kuwachukulia hatua wafugaji wa ng’ombe wa maziwa wanaouza ng’ombe waliopata kupitia mradi wa kopa ng’ombe lipa ng’ombe.

Pia aliitaka Serikali ya Kijiji kuwachukulia hatua wafugaji wanaochinja ng’ombe hao badala ya kuendeleza mradi huo kwani kufanya hivyo ni kuhujumu mradi huo ambapo inapelekea kupoteza sifa za kupata tena mikopo hiyo.

Mheshimiwa Nakumbya, aliyasema hayo wakati wa ziara ya Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira ilipofanya ziara yake ya robo ya kwanza ya kutembelea miradi ya maendeleo inayoendelea katika Wilaya ya Ruangwa.

Mhe Nakumbya aliutaka uongozi wa kijiji hicho kuandaa sheria ndogo zitakazowabana hao wafugaji wanaouza na kuchinja hao ng’ombe, pia alikiagiza kikundi cha wafugaji kufanya marekebisho ya katiba yao ili watu wasiwe wanauza na kuchinja mifugo ovyo.

“Kiukweli nimefarijika sana kukuta huu mradi katika kijiji cha Mitope kwani sehemu nyingine walishauza na kuchinja mifugo yote nitashirikiana na nyie bega kwa bega kuendeleza hiyo mifugo”alisema Nakumbya.

Naye Mhe Diwani wa kata ya Mbwemkuru aliwataka wanakikundi kurekebisha mabanda wanayolaza mifugo yao kwani mifugo hiyo ndiyo inayowaingizia kipato ni wajibu wakaithamini.

“Nyie mnaishi katika majumba mazuri ambayo yametokana na faida ya ng’ombe hao halafu hao wanaowapa hayo mafanikio hamuwajali si uungwana rekebisheni mabanda msimu wa mvua unakuja wajengeeni mabanda ya kudumu yaliyoezekwa juu.

Wakati huo huo kamati ilifanya Ziara katika mabonde yanayolimwa kilimo cha mbogamboga, bonde la Likunja, Mnindu na Chikalala ambapo wanakamati walipata fursa ya kuonana na wanavikundi na wakulima mmoja mmoja wanaojishughulisha na kilimo cha mbogamboga.

Mhe, Mwenyekiti aliwataka wakulima kuunda umoja wa AMCOS wa wakulima wa mbogamboga ambao utawasaidia katika masuala ya mauzo ya bidhaa hizo wanazolima.

“Undeni AMCOS ambayo itakuwa na katiba na miongozo mchague viongozi wenu watakaowasimamia katika kuendesha chama hicho mkifanya hivi hamtokuwa mnatoa changamoto ya ukosefu wa masoko ya kuaminika.

Pia aliwataka kutunza mazingira ya maeneo ya mabonde hayo ili vyanzo vya maji visikauke, aliwataka wapande miti ya kutosha kuzunguka vyanzo vya maji hivyo na kufuata sheria ya kuwa mbali na chanzo cha maji kwa mita 60.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa