• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Madiwani Waonyesha Kuridhishwa Utendaji Kazi Wa Mkurugenzi Ruangwa

Posted on: June 9th, 2020

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa wameonyesha kuridhishwa na juhudi za dhati ambazo zimekuwa zikionyeshwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Andrea Chezue kwa namna ambavyo amekuwa bega kwa bega kwa kushirikiana na madiwani pamoja na timu nzima ya menejimenti katika kuhakikisha rasilimali za Halmashauri zinatumika kadri ipasavyo na kuleta tija kwa wananchi.

Hayo yamebainishwa Juni 9 mwaka huu na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Mhe. Rashid Nakumbya alipokuwa akifungua baraza la madiwani na kusema kuwa kwa nyakati tofauti tofauti Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa imekuwa na wakurugenzi mbalimbali lakini kupitia Mkurugenzi Chezue wanayo mambo ya kujivunia katika usimamizi wa miradi mbalimbali ambapo rasilimali zimekuwa zikitumika vizuri na kuleta tija katika miradi ya maendeleo inayoendelea maeneo mbalimbali na kuleta tija kwa wananchi.

Pia ameitaka menejiment ya wilaya kuendelea kufanya shughuli zake kama zamani kipindi hiko ambacho madiwani watakuwa nje na kutokwamisha shughuli za kimaendeleo.

“Wawekezaji wanapofika msiwakwamishe kusiwe na masharti mengi na masuala la mikataba na vibali ishighulikiwe kwa uharaka bado tunaimani na nyie na tunajua hamtotuangusha kwa kipindi hiki ambacho tupo nje” amesema Nakumbya.

Naye Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ndg, Andrea Chezue amesema kama Mkurugenzi na timu ya  menejimenti wamekuwa wakipata ushirikiano mkubwa kutoka kwa madiwani ambao wamekuwa chachu ya kufanya vizuri kwa kuhakikisha miradi yote iliyoko katika kata zao inasimamiwa na kufanyika katika ubora stahiki jambo lililosaidia Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kuwa mfano wa kuigwa ama chuo cha kujifunza kwa wilaya nyingine ambapo asilimia kubwa ya miradi hiyo imekuwa ikifanyika kwa ubora na thamani stahiki

“Ruangwa yasasa ni Ruangwa ya kimaendeleo tulipo hapa ni ushirikiano mliotupatia waheshimiwa Madiwani    Nimejifunza mengi kwa kufanya kazi na baraza lako mwenyekiti mlivyoiacha Halmashauri basi mtaikuta salama”amesema Chezue

Pamoja na hayo Chezue amewatia moyo madiwani hao na kusema kuwa ni maombi yake kuona madiwani hao wakirejea tena madarakani kwa kipindi kingine ili waweze kuliendeleza mbele gurudumu la maendeleo huku akiahidi kuendelea kufanya kazi zake kwa juhudi kwa kuhakikisha usalama wa rasilimali hususani fedha hadi hapo madiwani watakaporejea tena madarakani na kwamba kasi ya miradi ya maendeleo itaendelea kama kawaida na kwamba kazi zitaendelea kufanyika kwa uadilifu mkubwa kwa kuweka alama za maendeleo katika Wilaya ya Ruangwa.


MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa