• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MADIWANI RUANGWA WAPIGA KURA KUMCHAGUA MAKAMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI

Posted on: August 14th, 2024

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi wamefanya Uchaguzi wa kumchagua Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ambapo Mhe. Mikidadi Mbute Diwani wa Kata ya Namichiga ameshinda Uchaguzi huo kwa kupata kura 26 za Wajumbe kwa kipindi Cha mwaka wa fedha 2024/2025.


Uchaguzi huo umefanyika leo Agosti 14, 2024 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa.


Katika uchaguzi huo wagombea walikuwa wawili mmoja kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na chama Cha ACT Wazalendo ambapo mgombea kutoka Chama Cha Mapinduzi alikuwa Mhe. Mikidadi Mbute na kutoka ACT Wazalendo alikuwa Mhe. Rose Nyenela.


Akitangaza matokeo ya Uchaguzi huo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndugu George Mbesigwe akieleza kuwa wajumbe waliotakiwa kupiga kura ni 29, kura halali zilizopigwa zilikuwa 26 na wajumbe watatu hawakupiga kura kutokana na hali hiyo Mhe. Rose Nyenela alipata kura 0 na Mhe. Mikidadi Mbute alipata kura 26 hivyo Msimamizi wa uchaguzi alimtangaza Mheshimiwa Mikidadi Mbute kutoka Chama Cha Mapinduzi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kwa mwaka wa fedha 2024/2025.


Wakati huo huo Madiwani walichagua Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Halmashauri kwa kipindi cha mwaka 2024/2025.


Kwa upande wa Kamati ya Elimu, Afya na Maji Mwenyekiti aliechaguliwa ni Mhe. Rashidi Lipei, Diwani wa Kata ya Mandawa.


Kamati ya Uchumi, ujenzi na Mazingira Mwenyekiti wake ni Mhe. Shabani Kambona, Diwani wa Kata ya Nanganga na Mhe. Jafari Mwambe, Diwani Kata ya Malolo alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili.


Mkutano huo ulikuwa wa robo ya nne ya mwaka wa fedha wa 2023/2024 hivyo ulikuwa wa kufungia mwaka.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA MPARA WAFANYA USAFI KUJIANDAA NA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

    May 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA YATUNUKIWA TUZO KWA KUONGOZA KATIKA VIASHIRIA VYA AFYA MKOA WA LINDI

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa