• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Madini yenye ubora aina ya kinywe yabainika Wilaya ya Ruangwa katika vitalu 50 vinavyomilikiwa na Halmashauri

Posted on: September 14th, 2021

Madini yenye ubora aina ya kinywe yabainika katika Wilaya ya Ruangwa, madini hayo ni kati ya madini mkakati kumi na moja ya dunia katika vitalu vinavyomilikiwa na Halmashauri ya Wilaya hiyo.

Hayo yamebainishwa na Mjiolojia Mwandamizi kutoka Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa madini (GST) kutoka ndg.Charles Moye akizungumza katika kikao cha baraza la Halmashauri kilichofanyika leo tarehe 14/09/2021 alisema madini hayo kiubora viwango vyake vimevuka wastani wa ubora unaohitajika kimataifa.


Amesema "Na kwa upande wa majibu  sampuli za miamba zilizokusanywa na kupimwa kiwango cha Carbon (TGC %) zilionyesha kiwango hicho kilianzia asilimia 4% mpaka asilimia 18% kiwango cha juu na sampuli nyingi kuwa na wastani wa TGC 12% ambacho ni kikubwa ukilinganisha na kiwango cha ubora wa madini ya hayo ya kinywe duniani ambacho ni 3%

Mjiolojia  huyo amebainisha kuwa eneo hilo linafaa kwa uwekezaji wa madini hayo hivyo ni fursa nzuri ya wawekazaji na wachimbaji wadogowadogo kufanya makubaliano na Halmashauri ili kutumia eneo hilo.

Vile vile mjiolojia Ambaliche alishauri halmashauri kutumia taarifa ya utafiti iliyoandaliwa na GST katika kuhamasisha na kuvutia wawekezaji katika eneo la mradi

Aidha Ndg Moye aliishauri Halmashauri kufanya uchunguzi wa kina wa madini mengine yanayopatikana katika eneo kutokana na ukubwa wa eneo hilo.

Vile vile Ndg, Moye alisema utafiti huo ulibainisha uwepo wa madini ya manganizi katika vitalu hivyo ambayo yanahitaji ufuatiliaji zaidi 

Vitaru hivyo vipo katika Kata Nambilanje ya  kijini cha Nanjaru.


MWISHO 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 17.11.2025 November 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III August 09, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • HOSPITALI YA WILAYA YA RUANGWA YAPATA USAJILI KWA MAFUNZO ENDELEVU YA KITAALUMA (CPD)

    November 20, 2025
  • MHE NGOMA AWAPONGEZA NMB KWA KUIPANDISHA THAMANI YA KOROSHO KWA WANANCHI WA RUANGWA

    November 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA 2025

    November 15, 2025
  • MAAFISA UTAMADUNI WAKUTANA NA WALAMBO, NGARIBA NA WAMILIKI WA VIWANJA VYA JANDO NA UNYAGO

    November 14, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa