• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Kiongozi Wa Mbio za Mwenge awaasa Wakulima Ruangwa

Posted on: May 25th, 2017

Wakulima Wilayani Ruangwa wameaswa kushiriki utekelezaji wa Dhamira ya kufikia na kufanikisha mpango wa serikali wa kuwa na nchi yenye uchumi wa viwanda.

Aliwataka wananchi kuongeza bidii katika sekta ya kilimo ambayo itapelekea kuwa na viwanda kwa wingi kwasababu kilimo na viwanda ni vitu viwili vinavyotegemeana.


Wito huu aliutoa Mkimbiza Mwenge Kitaifa Amour Hamad, Amour wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Nandalaga alipotembelea shamba la alizeti na kiwanda cha kukamua mafuta hayo ya alizeti.

Alisema wakulima wanawajibu wa kushiriki kikamilifu wa kuifanya nchi kuwa na uchumi wa viwanda kupitia sekta ya kilimo.

Alibainisha kwamba idadi kubwa ya wakazi wa Wilaya ya Ruangwa humo ni wakulima, hivyo wananafasi ya kushiriki mpango huo wa serikali kupitia kazi wanayofanya, Amour alifananua kuwa ili wakulima waweze kufanikisha azima hiyo wanapaswa kubadilisha mtazamo na fikra kutoka kwenye kilimo cha kawaida na kwenda kwenye viwanda.

`` Badala ya kuuza mazao ghafi wakulima wanapaswa kufikiria kuuza yaliyotengenezwa viwandani, kwa kufanya hivyo mtakuwa mmeongeza thamani mazao mnayozalisha``alisema Amour.


Aidha alisema kama Tanzania ikifanikiwa kuwa nchi ya viwanda basi kutakuwa na faida nyingi kama kuongeza ajira ya mtu mmojammoja, kukuza uchumi wa taifa na kubadilisha mfumo wa maisha kutoka katika hali duni mpaka kuwa na hali nzuri kimaisha.

``Lengo nikuona hadi kufika mwaka 2025 wananchi wameondoka kwenye lindi la umasikini nakufikia uchumi wa kati ila kufanikiwa katika suala la viwanda inabidi wananchi wakazane kufanya kilimo kwa wingi``alisema Amour.


Vilevile alimtaka Mkuu wa Wilaya kuweka mkakati wa kuzuia matumizi mabaya ya chandarua kwasababu wananachi wanabadili matumizi ya chandarua badala ya kufunga kwenye vitanda vyao wanafunga kwenye bustani zao. Hivyo aliwataka wananchi kuwa na fikira za kubadilika na si kuishi kwa mazoea.


Wakati huo huo Fredirick Joseph Ndahani alitoa pongezi kwa uongozi wa Wilaya kwa mapokezi mazuri waliyoyapata na kusisitiza Halmashauri kuongeza jitihada za kusaidia vikundi vya wajasiriamali na hasa vijana.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa