• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

KAIMU MKURUGENZI AWATAKA WALIMU KUJAZA TAKWIMU KWA USAHIHI

Posted on: April 2nd, 2024

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ambae ni Afisa Elimu Awali na Msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Ndugu George Mbesigwe amewataka walimu wote wa shule husika kujaza Takwimu ili kupata taarifa zilizo sahihi.


Ameyasema hayo leo April 02, 2024 katika Kikao cha ufunguzi wa Semina ya maelekezo ya ujazaji wa madodoso ya sensa ya Elimu Msingi kilichofanyika ukumbi wa Shule ya Sekondari Nkowe.


Kikao hicho kimehusisha Maafisa Elimu Kata, Walimu Wakuu, Wakuu wa shule, Walimu wa Takwimu na Maafisa kutoka Ustawi wa jamii wenye vituo vya kulelea watoto wadogo.


Aidha, Mbesigwe ametoa wito kwa Maafisa Elimu Kata kusimamia kiyakinifu zoezi la ujazaji wa Takwimu kwa Walimu ili kuendana na wakati na kuhakikisha walimu wanamaliza mitaala yao mapema ili kuwasaidia wanafunzi kupata muda mwingi wa kupitia yale waliyofundishwa ili kupata matokeo mazuri pindi wafanyapo mitihani.


" Kama mwalimu anza kwa kusema sisi ni kichwa na si mkia hii itasaidia kujitafakari wapi ulianguka mwaka uliopita na kufanya kilicho bora mwaka husika kwa kufundisha kwa weledi tena kwa kuzingatia muda ili kumaliza mitaala mapema" Amesema Mbesigwe


Kwa upande wao wadau waliohudhuria Kikao hicho wamewaomba wahusika wa usajili wa vituo vya kulelea watoto wadogo kushirikiana kwa pamoja na wadau wanaowiwa kufungua vituo hivyo ili vituo hivyo vitambulike mapema na serikali halikadhalika wameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kwa kuinua na kuitolea macho Sekta ya elimu.

Matangazo

  • NAFASI ZA KUJITOLEA HALMSHAURI YA WILAYA YA RUANGWA February 13, 2026
  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • ASHALONGO FC VS KIBWANA FARM FC, HAKUNA MBABE

    February 08, 2026
  • RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    February 05, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa