• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Iwezesheni halmashauri kukimu watumishi wake kwa kusimamia mapato

Posted on: February 2nd, 2022

Katibu wa Chama cha Wafanyakazi Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi (TALGWU),Ndg Jafari Ndande, amewataka  watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kukusanya mapato na kuona ni wajibu wao kulinda mapato ya halmashauri yasipotee.

Amesema hayo wakati wa kikao cha baraza la bajeti la wafanyakazi lililifanyika tarehe 02/02/2022 katika ukumbi wa Mkuu wa Wilaya Ruangwa mjini.

Ndugu Ndande alisema kuacha mapato yapotee itasababisha mateso kwa watumishi wenyewe kwasababu Halmashauri haitoweza kutoa stahiki za watumishi.

"Suala la kukusanya mapato ni wajibu wa kila mtumishi msikae katika vituo vyenu vya kazi mkifikiri suala la mapato ni la mkurugenzi tu hapana ni wajibu wenu wote watumishi wa Halmashauri hii" amesema


Vile vile alisema kila mtumishi akiwa na mawazo ya kuwa fedha hizo zikipotea zinapotea zake hakutokuwa na mapato yanayopotea ya wilaya hii na Mkurugenzi ataweza kukamilisha stahiki zote za watumishi.

Naye kaimu  Mkurugenzi Ndgu Albert Mwombeki alisema ni wajibu wa kila mtumishi kulinda vyanzo vyote vya mapato na kuhakikisha mapato hayapotei.


Alisema Mwombeki mipango yote ya halmshauri iliyopangwa kwenye bajeti itafanikiwa kama kila mtu atatimiza wajibu wake katika kukusanya mapato ya halmashauri.

" msiruhusu mapato yapotee ~msiruhusu watu~ wala kuibwa simamieni vyanzo vya mapato na hakikisheni kila mzigo inayotoka katika kata na vijiji vyenu vimelipiwa ushuru" amesema Mwombeki

Katika kikao hicho Baraza la Wafanyakazi lilipotisha bajeti ya billion 30.8 ya mwaka 2022/2023 ikiwa mapato ya ndani ni billion 5.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa