• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Iwezesheni halmashauri kukimu watumishi wake kwa kusimamia mapato

Posted on: February 2nd, 2022

Katibu wa Chama cha Wafanyakazi Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi (TALGWU),Ndg Jafari Ndande, amewataka  watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kukusanya mapato na kuona ni wajibu wao kulinda mapato ya halmashauri yasipotee.

Amesema hayo wakati wa kikao cha baraza la bajeti la wafanyakazi lililifanyika tarehe 02/02/2022 katika ukumbi wa Mkuu wa Wilaya Ruangwa mjini.

Ndugu Ndande alisema kuacha mapato yapotee itasababisha mateso kwa watumishi wenyewe kwasababu Halmashauri haitoweza kutoa stahiki za watumishi.

"Suala la kukusanya mapato ni wajibu wa kila mtumishi msikae katika vituo vyenu vya kazi mkifikiri suala la mapato ni la mkurugenzi tu hapana ni wajibu wenu wote watumishi wa Halmashauri hii" amesema


Vile vile alisema kila mtumishi akiwa na mawazo ya kuwa fedha hizo zikipotea zinapotea zake hakutokuwa na mapato yanayopotea ya wilaya hii na Mkurugenzi ataweza kukamilisha stahiki zote za watumishi.

Naye kaimu  Mkurugenzi Ndgu Albert Mwombeki alisema ni wajibu wa kila mtumishi kulinda vyanzo vyote vya mapato na kuhakikisha mapato hayapotei.


Alisema Mwombeki mipango yote ya halmshauri iliyopangwa kwenye bajeti itafanikiwa kama kila mtu atatimiza wajibu wake katika kukusanya mapato ya halmashauri.

" msiruhusu mapato yapotee ~msiruhusu watu~ wala kuibwa simamieni vyanzo vya mapato na hakikisheni kila mzigo inayotoka katika kata na vijiji vyenu vimelipiwa ushuru" amesema Mwombeki

Katika kikao hicho Baraza la Wafanyakazi lilipotisha bajeti ya billion 30.8 ya mwaka 2022/2023 ikiwa mapato ya ndani ni billion 5.

MWISHO

Matangazo

  • NAFASI ZA KUJITOLEA HALMSHAURI YA WILAYA YA RUANGWA February 13, 2026
  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • ASHALONGO FC VS KIBWANA FARM FC, HAKUNA MBABE

    February 08, 2026
  • RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    February 05, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa